ACT ipo tayari kushirikiana na Ukawa
Na Bakari Kimwanga, Singida
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), kimesema kuwa kipo tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa kwa lengo la kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kubomoa mfumo unaowanyonya wananchi
Kutokana na hali hiyo, kimewahakikishia Watanzania kuwa ujio wa chama hicho ni wa kuleta mageuzi ya kweli kwa taifa badala ya porojo kama vyama vingine vinavyofanya.
Akihutubia wananchi jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Palestina ipo tayari kusitisha mapigano
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-l8AJB6FUh6M/XtPo-eJITGI/AAAAAAAC6eU/qr7p9ky7v4YWWMxp-T1-lz2KrGj_udafwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-l8AJB6FUh6M/XtPo-eJITGI/AAAAAAAC6eU/qr7p9ky7v4YWWMxp-T1-lz2KrGj_udafwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9xjqquX0b9o/XtO-_KcHZoI/AAAAAAALsJA/C714scfKueEL-hkmEHMxrcwxr11NV8cpQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d32d7cb-a6b7-47c1-ad8f-0f97662760b2.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII - DKT. KIGWANGALLA
Na WAMJW- Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha mifumo ya tahadhari zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Sheria inayolazimisha vizima moto nyumbani ipo tayari
5 years ago
MichuziHOSPITALI YA AMANA IPO TAYARI KUPOKEA WAGONJWA WA CORONA
NA ZAMARADI KAWAWA, MAELEZO, DAR ES SALAAMSerikali imehamisha wagonjwa wote waliokuwa wakipata huduma za afya katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dar es Salaam, Amana iliyopo Manispaa ya Ilala, ili kuanza kutekeleza jukumu la kutumia hospitali hiyo kutoa huduma za afya kwa wagonjwa wa Corona (COVID – 19).
Akizungumza na Watumishi wa hospitali hiyo mara baada ya kutembelea majengo yatakayotumika kuwalaza wagonjwa wa Corona (COVID-19), Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Vijana wanasema kesho haiji, leo ipo tayari
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Mwanasheria Mkuu: Ripoti ya mabilioni ya Uswisi ipo tayari
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s72-c/starsprs.png)
MKWASA ASEMA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s640/starsprs.png)