Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Palestina ipo tayari kusitisha mapigano

Uongozi wa Palestina umependekeza makubaliano ya saa ishirini na nne ya kusitisha mapigano dhidi yake na Israel.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Israel kusitisha msaada kwa Palestina

Israel inasema kuwa itasimamisha fedha kwenda kwa utawala wa Palesina kutokana na hatua ya taifa hilo kutaka kujiunga na ICC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana kusitisha mapigano Gaza

Israel na Wapalestina wakubaliana kusitisha mapigano Gaza chini ya usuluhishi wa Misri

 

11 years ago

BBCSwahili

Anti-Balaka,Seleka kusitisha mapigano?

Wanamgambo kutoka kundi la Anti- Balaka na Seleka wametia saini mpango wa kusitisha mapigano

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi na serikali kusitisha mapigano Syria

Umoja wa mataifa unasema pande zinazozana mjini Homs nchini Syria zimeafikiana kuongeza muda wa kusitisha mapigano kwa siku tatu

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel,Hamas kusitisha mapigano saa 72

Israel na Hamasi wamekubaliana kusitisha mapigano kwa saa 72 .

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel,Palestina zaombwa kuacha mapigano

Afisa wa Umoja wa mataifa anayeshughulikia maswala ya haki za binaadam, amekemea mashambulizi ukanda wa Gaza

 

5 years ago

CCM Blog

TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII

  Na WAMJW- KilimanjaroWaziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha mifumo ya tahadhari zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...

 

10 years ago

Mtanzania

ACT ipo tayari kushirikiana na Ukawa

zito_kabweNa Bakari Kimwanga, Singida
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), kimesema kuwa kipo tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa kwa lengo la kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kubomoa mfumo unaowanyonya wananchi
Kutokana na hali hiyo, kimewahakikishia Watanzania kuwa ujio wa chama hicho ni wa kuleta mageuzi ya kweli kwa taifa badala ya porojo kama vyama vingine vinavyofanya.
Akihutubia wananchi jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya...

 

5 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA AMANA IPO TAYARI KUPOKEA WAGONJWA WA CORONA


NA ZAMARADI KAWAWA, MAELEZO, DAR ES SALAAMSerikali imehamisha wagonjwa wote waliokuwa wakipata huduma za afya katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dar es Salaam, Amana iliyopo Manispaa ya Ilala, ili kuanza kutekeleza jukumu la kutumia hospitali hiyo kutoa huduma za afya kwa wagonjwa wa Corona (COVID – 19).

Akizungumza na Watumishi wa hospitali hiyo mara baada ya kutembelea majengo yatakayotumika kuwalaza wagonjwa wa Corona (COVID-19), Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani