Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakubaliana kusitisha mapigano Gaza

Israel na Wapalestina wakubaliana kusitisha mapigano Gaza chini ya usuluhishi wa Misri

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana kusitisha vita Sudan Kusini

Rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi nchini humo Riek Machar waingia katika mkataba wa kustisha vita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa muda wa kusitisha vita Gaza

Hamas na Israel zimekubali kuheshimu makubaliano ya mda ya kusitisha mapigano Gaza baada ya siku tisa za vita vikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Anti-Balaka,Seleka kusitisha mapigano?

Wanamgambo kutoka kundi la Anti- Balaka na Seleka wametia saini mpango wa kusitisha mapigano

 

11 years ago

BBCSwahili

Palestina ipo tayari kusitisha mapigano

Uongozi wa Palestina umependekeza makubaliano ya saa ishirini na nne ya kusitisha mapigano dhidi yake na Israel.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi na serikali kusitisha mapigano Syria

Umoja wa mataifa unasema pande zinazozana mjini Homs nchini Syria zimeafikiana kuongeza muda wa kusitisha mapigano kwa siku tatu

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel,Hamas kusitisha mapigano saa 72

Israel na Hamasi wamekubaliana kusitisha mapigano kwa saa 72 .

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yasitishwa tena Ukanda wa Gaza

Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza kwa siku tatu yafikiwa mjini Cairo

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yasita muda mfupi tu Gaza

Shambulio la Israil Gaza lauwa wengi na makubaliano ya kusitisha mapigano ili kuopoa maiti, hayadumu hata saa mbili zilizopangwa

 

11 years ago

Mtanzania

JK, Ukawa wakubaliana

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu

NA WAANDISHI WETU DAR, DODOMA

HATIMAYE mvutano kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Serikali umefikia kikomo baada ya pande mbili hizo kukubaliana na Rais Jakaya Kikwete kuboresha Katiba ya mwaka 1977 na kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani.

Hatima hiyo ilifikiwa jana kwenye kikao kilichofanyika kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani