Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK, Ukawa wakubaliana

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu

NA WAANDISHI WETU DAR, DODOMA

HATIMAYE mvutano kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Serikali umefikia kikomo baada ya pande mbili hizo kukubaliana na Rais Jakaya Kikwete kuboresha Katiba ya mwaka 1977 na kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani.

Hatima hiyo ilifikiwa jana kwenye kikao kilichofanyika kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Walimu wakubaliana na sababu za JK

>Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema kuwa baadhi ya madai ya wafanyakazi nchini yatatatuliwa na rais ajaye, Chama cha Walimu, CWT, kimesema kinasubiri kwa hamu kuona namna kiongozi huyo mpya atakavyoshughulika matatizo yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana kusitisha mapigano Gaza

Israel na Wapalestina wakubaliana kusitisha mapigano Gaza chini ya usuluhishi wa Misri

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana mpango wa amani Ukraine

Viongozi waliokuwa wakikutana nchini Belarus wamekubaliana mpango wa amani na kusitisha mapigano nchini Ukraine.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wa habari wakubaliana kushirikiana

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wadau wa habari, wamekubaliana kufanya kazi kwa karibu na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), ili kuboresha mahusiano kati ya Bunge hilo na waandishi wa habari wanaoripoti habari za Bunge hilo.

 

10 years ago

Habarileo

NEEC, TIB wakubaliana kuwawezesha wajasiriamali

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) na Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB), wameingia mkataba wa kuwawezesha kwa mikopo wajasiriamali vijana wanaomaliza vyuo vikuu nchini.

 

11 years ago

GPL

TFF, POULSEN WAKUBALIANA KUVUNJA MKATABA

Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili. Uamuzi huo umetangazwa leo (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari. Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha...

 

5 years ago

Bongo5

Rais Magufuli na TUCTA wakubaliana haya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewahakikishia viongzoi wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) kuwa serikali ya awamu ya tano itaendelea kuimarisha zaidi ushirikiano kati yake na wafanyakazi kwa manufaa ya Taifa.

Rais Magufuli amefanya mazungumzo hayo, Alhamisi hii Ikulu jijini Dar es salaam, sambamba na hilo amesema kuwa pamoja na kuimarisha ushirikiano huo serikali iko tayari kupokea ushauri na maoni yatakayotolewa na vyama vya wafanyakazi wenye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana kusitisha vita Sudan Kusini

Rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi nchini humo Riek Machar waingia katika mkataba wa kustisha vita.

 

10 years ago

StarTV

Vodacom, Tigo wakubaliana kuwa na gharama moja.

Na Grace Semfuko,

Dar Es Salaam,

 

Kampuni za simu za mkononi za Vodacom na Tigo zimeingia makubaliano ya pamoja ya kuwa na gharama moja ya utumaji wa pesa kupitia huduma zao za Tigo pesa na Mpesa.

 

Katika makubaliano hayo wateja milioni nne kutoka Tigo na wateja milioni 3 wa Vodacom watanufaika na huduma hizo.

 

Utiliaji saini makubaliano hayo umefanyika Jijini Dar Es Salaam baina ya wakurugenzi wa kampuni hizo mbili za Vodacom na Tigo.

Mkurugenzi wa Vodacom Rene Meza alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani