Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakubaliana mpango wa amani Ukraine

Viongozi waliokuwa wakikutana nchini Belarus wamekubaliana mpango wa amani na kusitisha mapigano nchini Ukraine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya amani yaheshimiwa Ukraine

Baada ya miezi kadhaa ya mapigano nchini Ukraine,Serikali na waasi wanaounga mkono Urusi wamekubaliana kusitisha vita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya amani yakiukwa Ukraine.

Milipuko mikali imesikika katika mji wa Bandari wa Mariupol mashariki mwa Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amani yadumishwa mashariki mwa Ukraine

Usitishwaji mapigano unaonekana kudumishwa kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wanaongwa mkono na Urusi mashariki mwa Ukrain.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Ukraine kuanzisha mazungumzo ya amani

Rais wa Ukraine asema ataunda tume maalum ya kushirikisha pande zote zinazozozana nchini humo kusuluhisha ghasia za kisiasa

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:Netanyahu amekiuka mpango wa amani

Msemaji wa Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya mpango wa amani

 

10 years ago

GPL

MAREKANI IMESEMA BENJAMIN NETANYAHU AMEKIUKA MPANGO WA AMANI

Waziri mkuu wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu akifanya mashauriano na Raisi wa Marekani Bw. Barack Obama. Msemaji wa serikali ya Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya awali ya kuundwa kwa mataifa mawili kama suluhu ya mgogoro wa Israel na Palestina mwanzoni mwa wiki hii, na kwamba Marekani inautathmini msimamo wake upya. Matamshi ya waziri mkuu huyo wa Israel ya kutotaka...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani

Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mtanzania

JK, Ukawa wakubaliana

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu

NA WAANDISHI WETU DAR, DODOMA

HATIMAYE mvutano kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Serikali umefikia kikomo baada ya pande mbili hizo kukubaliana na Rais Jakaya Kikwete kuboresha Katiba ya mwaka 1977 na kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani.

Hatima hiyo ilifikiwa jana kwenye kikao kilichofanyika kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu wakubaliana na sababu za JK

>Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema kuwa baadhi ya madai ya wafanyakazi nchini yatatatuliwa na rais ajaye, Chama cha Walimu, CWT, kimesema kinasubiri kwa hamu kuona namna kiongozi huyo mpya atakavyoshughulika matatizo yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani