Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAREKANI IMESEMA BENJAMIN NETANYAHU AMEKIUKA MPANGO WA AMANI

Waziri mkuu wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu akifanya mashauriano na Raisi wa Marekani Bw. Barack Obama. Msemaji wa serikali ya Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya awali ya kuundwa kwa mataifa mawili kama suluhu ya mgogoro wa Israel na Palestina mwanzoni mwa wiki hii, na kwamba Marekani inautathmini msimamo wake upya. Matamshi ya waziri mkuu huyo wa Israel ya kutotaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

USA:Netanyahu amekiuka mpango wa amani

Msemaji wa Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya mpango wa amani

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa wa Benjamin Netanyahu huuma wageni

Mbwa ambaye anayefugwa na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwauma wageni wawili, akiwemo mbunge wakati wa hafla ya kidini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Netanyahu aahidi kuendelea kutafuta amani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wamesema wamejitolea kufanikisha amani Mashariki ya Kati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu awasili Marekani

Waziri Mkuu wa Israel anatarajiwa kulihutubia Bunge la Cobgress

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama kukutana na Netanyahu Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu watakutana leo kwa mara ya kwanza tangu uhusiano baina yao kudorora Julai.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana mpango wa amani Ukraine

Viongozi waliokuwa wakikutana nchini Belarus wamekubaliana mpango wa amani na kusitisha mapigano nchini Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashinikiza amani Iraq

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry amewasili Iraq na kulitahadharisha raifa hilo dhidi ya vita

 

5 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo ameonya mipango ya serikali ya Afrika Kusini kunyakua ardhi pasipo fidia kuwa ''utaleta madhara mabaya sana'' kwa uchumi na taifa kwa ujumla.

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO

Na Magreth Kinabo – MAELEZO 
 Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli  hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari  baada ya kuulizwa swali juu ya  gharama   kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
 “Tunaomba wananchi wanapohiisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani