MAREKANI IMESEMA BENJAMIN NETANYAHU AMEKIUKA MPANGO WA AMANI
![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLoYPj7V-*DP6gutGBxqquhq5t6BgxrEdeSr6YhP-6SC*ku9waQnWyI8XEZgjY0MXxdbvnJBTEm0cINcRKkpbMsz/bibiobama.jpg?width=650)
Waziri mkuu wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu akifanya mashauriano na Raisi wa Marekani Bw. Barack Obama. Msemaji wa serikali ya Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya awali ya kuundwa kwa mataifa mawili kama suluhu ya mgogoro wa Israel na Palestina mwanzoni mwa wiki hii, na kwamba Marekani inautathmini msimamo wake upya. Matamshi ya waziri mkuu huyo wa Israel ya kutotaka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
USA:Netanyahu amekiuka mpango wa amani
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mbwa wa Benjamin Netanyahu huuma wageni
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Netanyahu aahidi kuendelea kutafuta amani
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Obama kukutana na Netanyahu Marekani
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Wakubaliana mpango wa amani Ukraine
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Marekani yashinikiza amani Iraq
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s72-c/Mkuu-4.jpg)
SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s1600/Mkuu-4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya gharama kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
“Tunaomba wananchi wanapohiisi...