SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s72-c/Mkuu-4.jpg)
Na Magreth Kinabo – MAELEZO
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya gharama kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
“Tunaomba wananchi wanapohiisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziCRDB yazindua huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi KCMC
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s72-c/02%2B(1).jpg)
Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s1600/02%2B(1).jpg)
Hayo yamebainishwa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David Mwakyusa (CCM) ambaye alitaka kujua kama Serikali inatambua VICOBA ...
11 years ago
Mwananchi11 May
Wagonjwa wa dengue watibiwa bila kupimwa
11 years ago
Habarileo24 Jan
‘Mtoto anayebakwa atibiwe bila malipo’
SERIKALI imeelekeza mtoto anayeshambuliwa ama kubakwa na kupata madhara kutokana na ukatili wa aina yoyote, akifikishwa hospitalini apatiwe matibabu kwanza bila kudaiwa fedha yoyote. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alisema hayo jana Dar es Salaam .
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Serikali ya Msumbiji imesema viongozi wa kundi la kigaidi waliouwa nchini humo ni Watanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrNg0N9RdyYcwvnAm*IZVYxuEtVBaP5z0Cvg2y87NE-9VFV5IXgWPk1ohmI4fI0rx61*x0oZnywXzdTggTyLygs/flora.jpg?width=650)
FLORA MVUNGI AKIRI KUUZA NYAGO BILA MALIPO
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Tanga kuanza upimaji Saratani ya matiti bila malipo
10 years ago
Habarileo16 May
Chikawe ataka polisi kuungwa na mkongo bila malipo
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuviunganisha vituo vyote vya polisi na mkongo wa taifa bila malipo ili kurahisisha mawasiliano kwa Jeshi la Polisi.
11 years ago
GPL