‘Mtoto anayebakwa atibiwe bila malipo’
SERIKALI imeelekeza mtoto anayeshambuliwa ama kubakwa na kupata madhara kutokana na ukatili wa aina yoyote, akifikishwa hospitalini apatiwe matibabu kwanza bila kudaiwa fedha yoyote. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alisema hayo jana Dar es Salaam .
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Dec
Baba aomba msaada mtoto wake atibiwe
PAULO Msangawale anayesoma Shule ya Msingi Katusa, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameshindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ulemavu wa kudumu na sasa anaomba msaada wa matibabu zaidi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s72-c/Mkuu-4.jpg)
SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s1600/Mkuu-4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya gharama kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
“Tunaomba wananchi wanapohiisi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrNg0N9RdyYcwvnAm*IZVYxuEtVBaP5z0Cvg2y87NE-9VFV5IXgWPk1ohmI4fI0rx61*x0oZnywXzdTggTyLygs/flora.jpg?width=650)
FLORA MVUNGI AKIRI KUUZA NYAGO BILA MALIPO
10 years ago
Habarileo16 May
Chikawe ataka polisi kuungwa na mkongo bila malipo
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuviunganisha vituo vyote vya polisi na mkongo wa taifa bila malipo ili kurahisisha mawasiliano kwa Jeshi la Polisi.
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Tanga kuanza upimaji Saratani ya matiti bila malipo
11 years ago
GPL5 years ago
BBCSwahili16 Jun
WhatsApp Pay: Facebook yazindua huduma ya kutuma fedha bila malipo
5 years ago
CCM BlogRITA: WATOTO CHINI YA MIKA MITANO KUPATA VYETI BILA MALIPO
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amemtaka wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) na wakuu wa wilaya zinazopakana na Nchi jirani kuhakikisha wanawadhibiti watoto walio na umri chini ya miaka mitano ambao sio raia wa Tanzania kuingizwa kwenye mpango wa usajili wa vizazi utakaoanza mapema mwaka huu.
Mndeme alitoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akifungua warsha ya viongozi wa wilaya na mkoa wa Ruvuma kuhusu usajili wa vizazi kwa watoto wa umri wa...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya corona: Waandisi wanaorekebisha mashine za kusaidia kupumua bila malipo