WATOTO WATUMIKISHWA KUJENGA UWANJA WA KUMBUKUMBU YA SOKOINE BILA MALIPO
Picha zote na Rashid…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogRITA: WATOTO CHINI YA MIKA MITANO KUPATA VYETI BILA MALIPO
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amemtaka wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) na wakuu wa wilaya zinazopakana na Nchi jirani kuhakikisha wanawadhibiti watoto walio na umri chini ya miaka mitano ambao sio raia wa Tanzania kuingizwa kwenye mpango wa usajili wa vizazi utakaoanza mapema mwaka huu.
Mndeme alitoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akifungua warsha ya viongozi wa wilaya na mkoa wa Ruvuma kuhusu usajili wa vizazi kwa watoto wa umri wa...
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5
Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.
Na Andrew Chale modewji...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSCN9215.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE KAMBI YA KUPIMA AFYA BILA MALIPO KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5
10 years ago
Habarileo08 Sep
Watoto milioni 169 watumikishwa
TAKWIMU zinaonesha kuwa idadi ya watoto wanaotumikishwa duniani imefikia milioni 169 na kati ya hao, wapo wenye umri wa miaka mitano, wanaotoka katika familia maskini. Kwa upande wa Tanzania, takwimu hizo zinaonesha asilimia 27.5 ya watoto wenye umri wa chini ya miaka 17, wamekuwa wakitumikishwa katika ajira hatarishi zikiwemo za kufanya kazi majumbani.
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Sugu atikisa Uwanja wa Sokoine
11 years ago
Habarileo24 Jan
‘Mtoto anayebakwa atibiwe bila malipo’
SERIKALI imeelekeza mtoto anayeshambuliwa ama kubakwa na kupata madhara kutokana na ukatili wa aina yoyote, akifikishwa hospitalini apatiwe matibabu kwanza bila kudaiwa fedha yoyote. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alisema hayo jana Dar es Salaam .
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Ukarabati Uwanja wa Sokoine kukamilika kesho
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Simba yalalamikia mapato ya Uwanja wa Sokoine
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-U5TssvFoo1E/UqsuTlI7OoI/AAAAAAAAol8/iVMV7qivvtg/s640/IMG-20131213-WA0013.jpg?width=580)
TASWIRA ZA MATENGENEZO YA UWANJA WA SOKOINE MBEYA