Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATOTO WATUMIKISHWA KUJENGA UWANJA WA KUMBUKUMBU YA SOKOINE BILA MALIPO

Picha zote na Rashid…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RITA: WATOTO CHINI YA MIKA MITANO KUPATA VYETI BILA MALIPO

Na Muhadh Mohammed, Songea Ruvuma.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amemtaka wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) na wakuu wa wilaya zinazopakana na Nchi jirani kuhakikisha wanawadhibiti watoto walio na umri chini ya miaka mitano ambao sio raia wa Tanzania kuingizwa kwenye mpango wa usajili wa vizazi utakaoanza mapema mwaka huu.

Mndeme alitoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akifungua warsha ya viongozi wa wilaya na mkoa wa Ruvuma kuhusu usajili wa vizazi kwa watoto wa umri wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi watakiwa kujitokeza kwenye kambi ya kupima Afya bila malipo kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5

DSCN9331

DSCN9215

Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni  mwakilishi wa shule ya Kibugumu, Mwalimu Mzamili Ally.

Na Andrew Chale modewji...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE KAMBI YA KUPIMA AFYA BILA MALIPO KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kliniki ya kimataifa ya afya ya uzazi kwa baba, mama, mtoto na vijana (AMM), Dk Ali Mzige (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Kambi ya kupima afya bila malipo kwa watoto wadogo, itakayofanyika Jumapili ya Machi 8 mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO, Amit Nandy na kulia ni mwakilishi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Watoto milioni 169 watumikishwa

TAKWIMU zinaonesha kuwa idadi ya watoto wanaotumikishwa duniani imefikia milioni 169 na kati ya hao, wapo wenye umri wa miaka mitano, wanaotoka katika familia maskini. Kwa upande wa Tanzania, takwimu hizo zinaonesha asilimia 27.5 ya watoto wenye umri wa chini ya miaka 17, wamekuwa wakitumikishwa katika ajira hatarishi zikiwemo za kufanya kazi majumbani.

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu atikisa Uwanja wa Sokoine

>Sugu sugu sugu… hivyo ndiyo mashabiki wa Mbeya City walivyoimba kwa muda mrefu baada ya mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kuingia uwanjani juzi kushuhudia mechi ya Ligi Kuu kati ya Mbeya City na Coastal Union.

 

11 years ago

Habarileo

‘Mtoto anayebakwa atibiwe bila malipo’

SERIKALI imeelekeza mtoto anayeshambuliwa ama kubakwa na kupata madhara kutokana na ukatili wa aina yoyote, akifikishwa hospitalini apatiwe matibabu kwanza bila kudaiwa fedha yoyote. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alisema hayo jana Dar es Salaam .

 

11 years ago

Mwananchi

Ukarabati Uwanja wa Sokoine kukamilika kesho

Uongozi wa Chama cha Soka Mkoa wa Mbeya, (Mrefa), umewatoa hofu wapenzi na mashabiki wa soka mkoani hapa kuhusu suala la kukosa uhondo wa kuangalia Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili kutokana na ukarabati wa Uwanja wa Sokoine kukamilika kesho.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yalalamikia mapato ya Uwanja wa Sokoine

Klabu ya Simba imedai kuhujumiwa mapato ya mechi yao ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Prisons iliyochezwa Jumapili iliyopita, kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MATENGENEZO YA UWANJA WA SOKOINE MBEYA

Saleh Kupaza (kulia ) akiwa na mtaalam wa kutengeneza viwanja.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani