Chikawe ataka polisi kuungwa na mkongo bila malipo
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuviunganisha vituo vyote vya polisi na mkongo wa taifa bila malipo ili kurahisisha mawasiliano kwa Jeshi la Polisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jan
‘Mtoto anayebakwa atibiwe bila malipo’
SERIKALI imeelekeza mtoto anayeshambuliwa ama kubakwa na kupata madhara kutokana na ukatili wa aina yoyote, akifikishwa hospitalini apatiwe matibabu kwanza bila kudaiwa fedha yoyote. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alisema hayo jana Dar es Salaam .
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s72-c/Mkuu-4.jpg)
SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s1600/Mkuu-4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya gharama kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
“Tunaomba wananchi wanapohiisi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrNg0N9RdyYcwvnAm*IZVYxuEtVBaP5z0Cvg2y87NE-9VFV5IXgWPk1ohmI4fI0rx61*x0oZnywXzdTggTyLygs/flora.jpg?width=650)
FLORA MVUNGI AKIRI KUUZA NYAGO BILA MALIPO
BAADA ya kumaliza kusoma Exclusive Interview ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ leo katika safu hii tunamleta kwenu msanii wa filamu na muziki, Flora Festo Mvungi.
HISTORIA KWA UFUPI
Staa huyu amezaliwa mwaka 1988 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya wanne waliozaliwa katika familia yao.Amesoma Shule ya Msingi Mpakani iliyopo Mabibo baada ya...
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Tanga kuanza upimaji Saratani ya matiti bila malipo
Serikali wilayani hapa, inatarajia kuendesha upimaji wa saratani ya matiti na kizazi bila malipo ili kuwawezesha wanawake kutambua afya zao mapema kabla ya maradhi hayo hayajajitokeza.
11 years ago
GPL5 years ago
BBCSwahili16 Jun
WhatsApp Pay: Facebook yazindua huduma ya kutuma fedha bila malipo
WhatsApp imezindua huduma ya malipo ya kidijitali nchini Brazil katika juhudi za kutumia umaarufu wake kuingia kwenye masoko yanayoibuka katika ulimwengu wa biashara.
5 years ago
CCM BlogRITA: WATOTO CHINI YA MIKA MITANO KUPATA VYETI BILA MALIPO
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amemtaka wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) na wakuu wa wilaya zinazopakana na Nchi jirani kuhakikisha wanawadhibiti watoto walio na umri chini ya miaka mitano ambao sio raia wa Tanzania kuingizwa kwenye mpango wa usajili wa vizazi utakaoanza mapema mwaka huu.
Mndeme alitoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akifungua warsha ya viongozi wa wilaya na mkoa wa Ruvuma kuhusu usajili wa vizazi kwa watoto wa umri wa...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya corona: Waandisi wanaorekebisha mashine za kusaidia kupumua bila malipo
Wahandisi wawili kutoka Nigeria wamekuwa wakitengeneza vifaa vya kusaidia kupumua vilivyoharibika bila malipo katika hospitali moja nchini humo
9 years ago
MichuziTASOI YAZINDUA KAMPENI YA SARATANI KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO BILA MALIPO YOYOTE
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania