CRDB yazindua huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi KCMC
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB pamoja na kaimu mkurugenzi wa hosptali ya KCMC .Prof Raimosi Ollomi wakati akizindua tawi dogo la Benki ya CRDB.
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB,Dk Charles Kimei akimuelekeza jambo Askofu Dk Martin Shao kabla ya uzinduzi wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi.
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini,Dk Martin...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s72-c/14.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s1600/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-06IEOzwZCuI/Ux7b0qOq_7I/AAAAAAAA72w/1q6YoyAzOpg/s1600/23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s1yIy1k5xzo/Ux7bvkQ1dBI/AAAAAAAA72c/jAVaxtt-edc/s1600/21.jpg)
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s72-c/unnamed+(70).jpg)
HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC YAZINDUA HUDUMA YA UPASUAJI KWA NJIA YA DARUBINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEIrdVjttXU/UwSaVh_MXnI/AAAAAAAFN-M/qlqYOSKEnA8/s1600/unnamed+(71).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EOXXW9UwPc/UwSaVlVGcqI/AAAAAAAFN-I/gKx_Ng0fuIY/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--H3LicZ7Xhk/UwSaWLz-swI/AAAAAAAFN-g/5RS53nqJN-M/s1600/unnamed+(73).jpg)
10 years ago
Michuzi25 Jan
Airtel yazindua huduma ya kufanya malipo kwa kutumia kadi
![11](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1119.jpg)
10 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA KUFANYA MALIPO KWA KUTUMIA KADI
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Kampuni ya Interswitch yazindua huduma ya malipo kwa njia ya mtandao jijini Dar leo
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Interswitch kwa Afrika Mashariki Bernard Matthewman, akizungumza na wadau mbalimbali Dar es Salaam leo , wakati wa uzinduzi wa kampuni hiyo hapa nchini uliofanyika Hoteli ya Hyatt Regency- Kilimanjaro pamoja na huduma ya malipo kwa njia ya mtandao.
Wadau wakiwa kwenye uzinduzi huo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-bVuGGmmm9p4/Vl7PaRU_4lI/AAAAAAAAUcc/vRpCaHHvsXQ/s640/3.jpg)
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-swvF1Q-xtC8/Vl7PeuUwhhI/AAAAAAAAUc0/lk0IhnhaM5w/s640/5.jpg)
Maofisa wa kampuni hiyo wakiwa kwenye uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tp7ynrrJ9SE/Vl7PfR2OXnI/AAAAAAAAUc4/jnA5KrTvdMM/s640/6.jpg)
Mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo akiwa katika uzinduzi huo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-G04UNqJyF1U/Vl7PigfSCrI/AAAAAAAAUdE/dObV4YhFduI/s640/7.jpg)
Mkutano na...
9 years ago
StarTV17 Dec
Wagonjwa wadai kushindwa kumudu gharama Matibabu Kcmc Moshi
Gharama kubwa za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zinadaiwa kuwaweka njia panda baadhi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma za tiba hospitalini hapo.
Baadhi ya wagonjwa hulazimika kutoroka hospitalini hapo na wengine kutelekezwa na ndugu zao kutokana na gharama kubwa wanazopaswa kulipia.
Mtoto Frank aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa wa idara ya Upasuaji ambaye alifanyiwa upasuaji wa tumbo hivi Karibu anatajwa kuwa ni miongoni mwa wagonjwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zlRAFyrSFsQ/XnDL7IoCx8I/AAAAAAACEcY/uwMn0D4LKHcU8B37lYEZ7f3MYVVNBJAWQCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI0495.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO MAALUM WA KUTOA MAONI KWA NJIA YA "QR CODE"
"Anachotakiwa kufanya mteja ni kuscan kwenye QR Code kwa kutumia simu yake ya smart ambayo imeunganishwa na internet, Mteja atafungua camera ya simu yake na kuscan kwenye QR Code ambazo zinapatikana kwenye matawi yote...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA