Serikali ya Msumbiji imesema viongozi wa kundi la kigaidi waliouwa nchini humo ni Watanzania
Serikali ya Msumbiji imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi nchini humo (FDS) vimedhibiti mji wa Macomia, katika jimbo la Cabo Delgado Kaskazini mwa Msumbiji na kuwaua viongozi wawili wa makundi ya kigaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s72-c/02%2B(1).jpg)
Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HOt2jibdkzM/VHg9iOpcDWI/AAAAAAACviE/Dtz-oitEi8w/s1600/02%2B(1).jpg)
Hayo yamebainishwa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Rungwe Magharibi Prof. David Mwakyusa (CCM) ambaye alitaka kujua kama Serikali inatambua VICOBA ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OCfLw05RFVk/VhGoUtSHhAI/AAAAAAAH888/cSoIe9I8d2o/s72-c/IMGS0781.jpg)
JK ZIARANI KENYA, AAGANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI HUMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OCfLw05RFVk/VhGoUtSHhAI/AAAAAAAH888/cSoIe9I8d2o/s640/IMGS0781.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7prUILXtXN0/VhGoVMDPiAI/AAAAAAAH89A/_YnbZ_Ih6sE/s640/IMGS0787.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9KjgYSYxC-M/VhGoZ0eQfgI/AAAAAAAH89s/phJdDAcABys/s640/IMGS0800.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kX47wIU207k/VhGoZ80w9tI/AAAAAAAH89k/-ml6ftPfggQ/s640/IMGS0806.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kuG-eH8L9AI/VhGobx14DxI/AAAAAAAH890/kZKA-VW69t4/s640/IMGS0810.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FUno9UHnTsk/VhGoeaqB9FI/AAAAAAAH8-A/cjrQxd-LyOs/s640/IMGS0812.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RZZMA8Lzxis/U9upvLv9PuI/AAAAAAAF8QM/m5lSbfETPzA/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Serikali ya Comoro yakabidhi eneo kwa Ubalozi Tanzania nchini humo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano wa Visiwa vya Comoro,Mhe. El-Anrif Said Hassane amekabidhi rasmi eneo lililototewa na Serikali ya Comoro kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa Ubalozi wa Tanzania mjini Moroni.
Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika Wizara ya Mambo ya Nje ya Comoro ambapo Mhe. Waziri El-Anrif amemkabidhi Mhe. Chabaka F. Kilumanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro, funguo za majengo matatu yaliyopo katika eneo hilo....
Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika Wizara ya Mambo ya Nje ya Comoro ambapo Mhe. Waziri El-Anrif amemkabidhi Mhe. Chabaka F. Kilumanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro, funguo za majengo matatu yaliyopo katika eneo hilo....
10 years ago
MichuziViongozi mbalimbali nchini Msumbiji wamkumbuka Brig. Jen. Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-v6ux9QaHF0o/VUPH8C6zIqI/AAAAAAAHUgU/kvvGhIOOrI4/s1600/Untitled11.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iyF0GhNdXRY/VUPH8CrpObI/AAAAAAAHUgY/qH6NrhM2eac/s1600/Untitled111.png)
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Misri:Hamas si kundi la kigaidi
Mahakama nchini Misri imefuta hukumu ya awali ambayo ilikitaja chama cha Hamas cha Palestina kama kikundi cha kigaidi.
11 years ago
BBCSwahili25 Dec
Muslim Brotherhood ni kundi la kigaidi
Serikali ya Misri yakipiga marufuku chama cha Muslim Brotherhood na kukitangaza kuwa kundi la kigaidi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s72-c/20150505052316.jpg)
KUNDI LINGINE LA WATANZANIA 40 WALIOKUWA WAKIISHI NCHINI YEMEN WAREJESHWA NYUMBANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s640/20150505052316.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wjF8OIOTNvg/VUi3LPrWZ3I/AAAAAAAHVfA/3B3AkHSAIAc/s640/20150505052316m.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68z5m-Q3fTB2WM*tp9WRvSBw9LLBqz4tY1UBPSMlXsakf3kV32rJsya4X-QWhybFpzWjGjXBHVD1hyY0PiVhvPFU/TANGA3.jpg?width=600)
TASWIRA KUTOKA TANGA KATIKA MAPAMBANO YA POLISI NA KUNDI LA KIGAIDI
Helkopta ya polisi pamoja na gari vikiwa eneo la mapango ya Amboni, Tanga wakati wa mapambano ya polisi na kundi linalodhaniwa kuwa la kigaidi. Eneo la mapango ya Amboni.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s72-c/20150505052316.jpg)
NEWS ALERT: KUNDI LINGINE LA WATANZANIA 40 WALIOKUWA WAKIISHI NCHINI YEMEN WAREJESHWA NYUMBANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s1600/20150505052316.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wjF8OIOTNvg/VUi3LPrWZ3I/AAAAAAAHVfA/3B3AkHSAIAc/s1600/20150505052316m.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania