Serikali ya Comoro yakabidhi eneo kwa Ubalozi Tanzania nchini humo
![](http://1.bp.blogspot.com/-RZZMA8Lzxis/U9upvLv9PuI/AAAAAAAF8QM/m5lSbfETPzA/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano wa Visiwa vya Comoro,Mhe. El-Anrif Said Hassane amekabidhi rasmi eneo lililototewa na Serikali ya Comoro kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa Ubalozi wa Tanzania mjini Moroni.
Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika Wizara ya Mambo ya Nje ya Comoro ambapo Mhe. Waziri El-Anrif amemkabidhi Mhe. Chabaka F. Kilumanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro, funguo za majengo matatu yaliyopo katika eneo hilo....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMshauri wa Masuala ya Ulinzi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro afanya ziara ya kikazi katika visiwa vya Comoro
11 years ago
MichuziCRDB YAKABIDHI MCHANGO WAKE KWA UBALOZI WA TANZANIA NCHI MAREKANI
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano itakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YuNUhJFrxdA/U9CxwYJLmtI/AAAAAAAF5d8/EUKcIFtQ5fA/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Kamati ya ya Bunge ya Hesabu za Serikali walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia
![](http://2.bp.blogspot.com/-YuNUhJFrxdA/U9CxwYJLmtI/AAAAAAAF5d8/EUKcIFtQ5fA/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
Michuzi28 Jul
WATANZANIA WANAOISHI VISIWANI COMORO WAANDAA FUTARI YA PAMOJA KWA KUSHIRIKIANA NA UBALOZI
Jamii ya Watanzania wanaoishi Visiwani Comoro wameandaa futari ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BlSO3TVinjninaiH2TqjVh5cOmZdRgVKkcSlFz91YBnYkvMsWF3vmS29FcrUN0prOBskN1XMHk8E23lXxLOE*WsXlWhTdbS8/c9.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO TOKA KWA BALOZI MPYA WA COMORO NCHINI TANZANIA
5 years ago
Michuzi14 Apr
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Serikali ya Msumbiji imesema viongozi wa kundi la kigaidi waliouwa nchini humo ni Watanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FduSM5lH_cc/XpVeTDXIl8I/AAAAAAALm5s/w4uZZJezrrQIM3Vk5ukk_uoJ1_g0-et4wCLcBGAsYHQ/s72-c/191a6039-0f00-4777-9092-038abb5c32bb.jpg)
NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE NCHINI CHINA AFAFANUA SABABU ZA KUBAGULIWA KWA BAADHI YA WAAFRIKA NCHINI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FduSM5lH_cc/XpVeTDXIl8I/AAAAAAALm5s/w4uZZJezrrQIM3Vk5ukk_uoJ1_g0-et4wCLcBGAsYHQ/s640/191a6039-0f00-4777-9092-038abb5c32bb.jpg)
Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China China Mhe. CHEN Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Mataifa ya Afrika katika Mji wa Guangzhou uliopo katika Jimbo la Guangdong.
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cDC1pb5ks/XpVeTM8xfsI/AAAAAAALm50/Lzu3hs21ETMjeOR55aXw8AM8eNPzgG-UACLcBGAsYHQ/s640/2f8b5439-e138-480c-88d0-0ad007853c88.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WBCxZTx3zKE/XpVeTM16hiI/AAAAAAALm5w/1UeFe2itOiQjrSRN9dvaEFlJ_Kafz8l-wCLcBGAsYHQ/s640/76c2b5dd-416e-4c0c-abc8-da2b38fae26f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y_PMvV4ESmA/XpVeT48EDdI/AAAAAAALm54/zxlsRrofK4wzQ7k5h1Xd8zAG2dLBgXxowCLcBGAsYHQ/s640/bd298759-d2b5-490c-81fc-897af9434c22.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NAIBU Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa China Chen Xiaoding amekutana na mabalozi wa nchi za Afrika akiwemo balozi wa Tanzania nchini humo Mbelwa Kairuki na kufafanua taarifa na changamoto...