NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE NCHINI CHINA AFAFANUA SABABU ZA KUBAGULIWA KWA BAADHI YA WAAFRIKA NCHINI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FduSM5lH_cc/XpVeTDXIl8I/AAAAAAALm5s/w4uZZJezrrQIM3Vk5ukk_uoJ1_g0-et4wCLcBGAsYHQ/s72-c/191a6039-0f00-4777-9092-038abb5c32bb.jpg)
Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China China Mhe. CHEN Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Mataifa ya Afrika katika Mji wa Guangzhou uliopo katika Jimbo la Guangdong.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NAIBU Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa China Chen Xiaoding amekutana na mabalozi wa nchi za Afrika akiwemo balozi wa Tanzania nchini humo Mbelwa Kairuki na kufafanua taarifa na changamoto...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi14 Apr
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
10 years ago
Vijimambo24 Apr
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na CEO wa Standard Chartered nchini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1kEXsbJDY5s/U_8FMZq0jEI/AAAAAAAGKOU/ZR4X29IUFAw/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ziarani nchini Singapore
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kEXsbJDY5s/U_8FMZq0jEI/AAAAAAAGKOU/ZR4X29IUFAw/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OwZ0wfQF7sg/U_8FMJ9lrgI/AAAAAAAGKOI/2wL3FNYqXHg/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA VIETNAM ZIARANI NCHINI
10 years ago
Vijimambo24 Apr
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje amuaga Mwakilishi wa FAO nchini
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MHE MAHADHI JUMA MAALIM AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA WAANGALIZI WA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI NCHINI AFRIKA KUSINI