Wagonjwa wa dengue watibiwa bila kupimwa
 Madaktari wa hospitali za Serikali jijini Dar es Salaam, wameanza kuwatibu watu wenye dalili za homa ya dengue bila uthibitisho wa vipimo kutokana na uhaba wa vipimo vya homa hiyo tangu katikati ya wiki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 May
Wagonjwa wa dengue wafikia 376
10 years ago
Vijimambo04 Oct
UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?
![](http://api.ning.com/files/zLSzH-96bg-u5273lvDsNZSzcae-D0mzyTu5mRa6b1LS3LOcdWrk27IrZlHbpW6-JnnWm*g2W4wYkSnEUQHj9cgBn9sTmNOL/KIONGERA1.jpg?width=650)
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s72-c/Mkuu-4.jpg)
SERIKALI IMESEMA MATIBABU YA DENGUE HUTOLEWA BILA MALIPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7wJ3m8SDCBQ/U3OZC5sIfxI/AAAAAAAFht4/4wwK-30NkvU/s1600/Mkuu-4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali juu ya gharama kubwa za matibabu ya ugonjwa huo, kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
“Tunaomba wananchi wanapohiisi...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wagonjwa walazwa bila mashuka Tumbi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s72-c/huduma-1-768x693.jpg)
WAGONJWA WENYE MATATIZO YA MOYO WASHAURIWA KUHUDHURIA KLINIKI BILA KUKOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s1600/huduma-1-768x693.jpg)
Wataalamu wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha Uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimlaza mgonjwa kabla ya kuzibuliwa mshipa mkubwa wa damu ya moyo ambao haukuwa unapitisha damu vizuri. Upasuaji huo wa bila kufungua kifua unafanyika kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory) ambapo mgonjwa anatobolewa tundu dogo katika mshipa wa damu ulioko kwenye paja.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-2-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-3-1024x683.jpg)
Wataalamu wabobezi wa moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
20 watibiwa fistula Moro
HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa ugonjwa wa fistula, wameanza kutoa matibabu ya ugonjwa huo ambako tayari wagonjwa 20 wamelazwa kwa ajili ya...
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Wanafunzi 270 kupimwa afya
ZAIDI ya wanafunzi 270 wa Shule ya Msingi Viziwi Buguruni, jijini Dar es Salaam, wanatarajiwa kupima afya zao na kupatiwa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili jana, jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kuhudumia Viziwi Tanzania (TSD), Yasin Mawe, alisema wanafunzi hao watapimwa damu, mkojo, uzito na urefu.
"Tumeamua kuwapima afya ili kupata kumbukumbu sahihi na kufahamu maradhi yanayowasumbua ili kuwapatia dawa," alisema.
Alisema TSD kwa kushirikiana na wahisani...