Wagonjwa wa dengue wafikia 376
Homa ya dengue inaendelea kushika kasi nchini baada ya takwimu za Januari hadi juzi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, kuonyesha kuwa watu 376
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n5deLLaWWtQ/Xpm41kQRXBI/AAAAAAAC3Rs/fsxaLKQ1YewvHNsIoHHTdPS3uMGqOayWgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 May
Wagonjwa wa dengue watibiwa bila kupimwa
 Madaktari wa hospitali za Serikali jijini Dar es Salaam, wameanza kuwatibu watu wenye dalili za homa ya dengue bila uthibitisho wa vipimo kutokana na uhaba wa vipimo vya homa hiyo tangu katikati ya wiki.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7nL019ZkgWQ/XpmtB4jIcqI/AAAAAAAC3RQ/vTKApuT4HUUHkae9MqB91o6if0Kiv3C5wCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAFIKIA 147
![](https://1.bp.blogspot.com/-7nL019ZkgWQ/XpmtB4jIcqI/AAAAAAAC3RQ/vTKApuT4HUUHkae9MqB91o6if0Kiv3C5wCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Idadi ya wagonjwa wa Corona Tanzania imeongezeka nakufikia 147 baada ya wagonjwa wapya 53 kukutwa na virusi hivyo .
Akiongea na vyombo vya habari leo Ijumaa April 17,2020, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa wote hao ni watanzania ambapo 38 ni kutoka Dar es Salaam,10 Zanzibar,Kilimanjaro 1,Mwanza 1,Pwani 1,Lindi 1,na Kagera 1
Waziri Ummy amesema mgonjwa mmoja amefariki dunia na hivyo kufanya idadi ya waliofariki hadi sasa kufika 05 na waliopona ni 11.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CHvt1gsMTzg/Xpm6D7educI/AAAAAAAC3R8/8Ovxzdlfpp4Uv5gHbsw-3l6-HPM_uvpwwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fR7LiIDMAvM/Xpm6GUq9gWI/AAAAAAAC3SA/OnvLJY_9O1ckVHIv7xq-B5OIAFqBLbMAQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
CCM BlogWAGONJWA WA CORONA KENYA WAFIKIA 384
Akiongea na Waandishi wa habari leo, Aprili 29, 2020 Katibu wa Afya Mercy Mwangangi amesema katika saa 24 zilizopita sampuli 580 kutoka kaunti 24 zilipimwa dhidi ya homa hiyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-U3RNR2CDbyA/Xph0rmB3XOI/AAAAAAAC3M8/4Ufyfe9vNLofx-E-AjX1QPtQjrJ9QHhigCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KENYA WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 234
![](https://1.bp.blogspot.com/-U3RNR2CDbyA/Xph0rmB3XOI/AAAAAAAC3M8/4Ufyfe9vNLofx-E-AjX1QPtQjrJ9QHhigCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya coronavirus nchini Kenya sasa imefikia 234 baada ya watu 9 zaidi kuthibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo.
Hayo ni kwa mujibu wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye amelihutubia taifa hilo leo Alhamisi April 16 akiwa Ikulu ya Nchi hiyo.
Kenyatta amesema kwamba serikali ilipima sampuli zingine 704 kwa muda wa saa 24 zilizopita na ndipo hao watu tisa wakathibitishwa kuugua.
Uhuru pia amesema idadi ya watu 53 wamepona kabisa na kuruhusiwa kwenda nyumbani tangu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNWeF9CJ9JI/XoHfb5nD4tI/AAAAAAALlhY/Hz83CRIHrg4r7IlkfpabV8DZsVj5mW7IgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CNDkzVxbHbA/Xpl7ozU44fI/AAAAAAAC3QY/bSWZQCusc0QR7KDzNAUJl9CVLVCZMC15ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAGONJWA CORONA KENYA WAFIKIA 246
![](https://1.bp.blogspot.com/-CNDkzVxbHbA/Xpl7ozU44fI/AAAAAAAC3QY/bSWZQCusc0QR7KDzNAUJl9CVLVCZMC15ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Katika taarifa waziri wa afya wa Kenya Mutahi Kagwe, amesema watano kati ya wale walioambukizwa virusi vya corona ni wahudumu wa hoteli na kuongeza kuwa idadi hiyo ilifikiwa baada ya jumla ya sampuli 450 kufanyiwa uchunguzi.
Jana Rais Uhuru Kenyata alitangaza hatua zifuatazo kukabiliana na Corona nchini humo.
1.Wizara ya Afya na huduma za umma itaanzisha hazina ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Nx0wl9ppH-k/Xp2wJxXJz3I/AAAAAAAC3hw/r9PpTD8vUPgRsaX6jSYXRbrtwu21bAm-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KENYA WAFIKIA 281 WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nx0wl9ppH-k/Xp2wJxXJz3I/AAAAAAAC3hw/r9PpTD8vUPgRsaX6jSYXRbrtwu21bAm-ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Wagonjwa wapya wote hawajasafiri siku za hivi karibuni, na watatu waliotokea Mombasa walikuwa karibu na Mgonjwa wa Corona aliyepoteza maisha wiki moja iliyopita
Mbali ya ongezeko la waathirika nchini humo, imetangazwa kuwa wagonjwa wawili wa COVID-19 wamepona na jumla ya waliopona nchini humo hadi sasa ni 69
Watu wapatao 13,872 wamepimwa tangu Virusi vya Corona...
9 years ago
Vijimambo27 Aug
Kipindupindu Dar chaua 10, wagonjwa sasa wafikia 65
Jumla ya watu 10 hadi kufikia jana walikuwa wameshapoteza maisha kutokana ugonjwa wa kipindupindu jijini Dar es Salaam huku 93 wakiwa wamelazwa kwenye kambi zilizotengewa kwa ajili ya walioathirika na ugonjwa huo.
Nipashe ilitembelea katika Kambi ya Mburahati wilayani Kinondoni jana na kushuhudia madaktari na wauguzi wakiendelea kutoa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili msimamizi wa kambi hiyo, ambaye pia ni Mratibu wa Mafunzo Idara ya Afya Wilaya ya Kinondoni, Alfred Ngowi, alisema hadi...
Nipashe ilitembelea katika Kambi ya Mburahati wilayani Kinondoni jana na kushuhudia madaktari na wauguzi wakiendelea kutoa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili msimamizi wa kambi hiyo, ambaye pia ni Mratibu wa Mafunzo Idara ya Afya Wilaya ya Kinondoni, Alfred Ngowi, alisema hadi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania