Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAFIKIA 147


Idadi ya wagonjwa wa Corona Tanzania imeongezeka nakufikia  147 baada ya wagonjwa wapya 53 kukutwa na virusi hivyo .
Akiongea na vyombo vya habari leo Ijumaa April 17,2020, Waziri  wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa wote hao ni watanzania ambapo 38 ni kutoka Dar es Salaam,10 Zanzibar,Kilimanjaro 1,Mwanza 1,Pwani 1,Lindi 1,na Kagera 1

Waziri Ummy amesema mgonjwa mmoja amefariki dunia na hivyo kufanya idadi ya waliofariki hadi sasa kufika 05  na waliopona ni 11. 


CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo

Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAFIKIA 284

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema, hadi Aprili 21, 2020 jumla ya Wagonjwa 284 wamethibitika kuwa na Virusi vya Corona. Wagonjwa 256 wanaendelea vizuri, 7 wako kwenye uangalizi maalum, 11 wamepona na 10 wamefariki
Mara ya mwisho Waziri wa Afya  Ummy Mwalimu alitoa taarifa kuwa jumla ya visa vya wagonjwa wa Corona  ilikuwa 254 baada ya Wagonjwa 84 kuongezeka
Aidha, Waziri Mkuu amesema jumla ya watu 2,815 waliokuwa karibu na Wagonjwa wamefuatiliwa afya zao ambapo kati yao, watu 1733 hawana...

 

5 years ago

CCM Blog

KENYA WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 234


  Idadi ya wagonjwa wa virusi vya coronavirus nchini Kenya  sasa imefikia 234 baada ya watu 9 zaidi kuthibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo.

Hayo ni kwa mujibu wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye amelihutubia taifa hilo leo Alhamisi  April 16 akiwa Ikulu ya Nchi hiyo.

Kenyatta amesema kwamba serikali ilipima sampuli zingine 704 kwa muda wa saa 24 zilizopita na ndipo hao  watu  tisa wakathibitishwa kuugua. 
Uhuru pia amesema idadi ya watu 53 wamepona kabisa na kuruhusiwa kwenda nyumbani tangu...

 

5 years ago

CCM Blog

WAGONJWA CORONA KENYA WAFIKIA 246

  Kenya imetangaza kuwa na wagonjwa 246 wa corona baada ya kuthibitisha watu 12 wapya wameambukizwa virusi vya ugonjwa wa Covid 19.
Katika taarifa waziri wa afya wa Kenya Mutahi Kagwe, amesema watano kati ya wale walioambukizwa virusi vya corona ni wahudumu wa hoteli na kuongeza kuwa idadi hiyo ilifikiwa baada ya jumla ya sampuli 450 kufanyiwa uchunguzi.
Jana Rais Uhuru Kenyata alitangaza hatua zifuatazo kukabiliana na Corona nchini humo.
1.Wizara ya Afya na huduma za umma itaanzisha hazina ya...

 

5 years ago

CCM Blog

WAGONJWA WA CORONA KENYA WAFIKIA 384

  Idadi ya walioambukizwa virusi vya Corona nchini Kenya yafikia 384, ni baada ya wagonjwa wapya 10 kuongezeka ambapo tisa ni kutoka Mombasa na mmoja ni kutoka Nairobi.
Akiongea na Waandishi wa habari leo, Aprili 29, 2020 Katibu wa Afya Mercy Mwangangi amesema katika saa 24 zilizopita sampuli 580 kutoka kaunti 24 zilipimwa dhidi ya homa hiyo. 

 

5 years ago

CCM Blog

KENYA WAFIKIA 281 WAGONJWA WA CORONA

  Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe ametangaza visa vipya 11 vya COVID-19 nchini humo na idadi ya waathirika wa ugonjwa huo imefikia 281.
Wagonjwa wapya wote hawajasafiri siku za hivi karibuni, na watatu waliotokea Mombasa walikuwa karibu na Mgonjwa wa Corona aliyepoteza maisha wiki moja iliyopita
Mbali ya ongezeko la waathirika nchini humo, imetangazwa kuwa wagonjwa wawili wa COVID-19 wamepona na jumla ya waliopona nchini humo hadi sasa ni 69
Watu wapatao 13,872 wamepimwa tangu Virusi vya Corona...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani