WAGONJWA WA COVID-19 WAFIKIA 19 - WAZIRI UMMY
![](https://1.bp.blogspot.com/-zNWeF9CJ9JI/XoHfb5nD4tI/AAAAAAALlhY/Hz83CRIHrg4r7IlkfpabV8DZsVj5mW7IgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-emjxy0gfyT8/XoHmoILmTjI/AAAAAAALliU/lJ64zt2BFLkE5CI8rUarTksa5y7wdz2bACLcBGAsYHQ/s72-c/http%2B_com.ft.imagepublish.upp-prod-us.s3.amazonaws.com_f470caa4-6561-11ea-abcc-910c5b38d9ed.webp)
Wagonjwa wa Covid 19 wafikia 142,000 nchini Marekani
![](https://1.bp.blogspot.com/-emjxy0gfyT8/XoHmoILmTjI/AAAAAAALliU/lJ64zt2BFLkE5CI8rUarTksa5y7wdz2bACLcBGAsYHQ/s640/http%2B_com.ft.imagepublish.upp-prod-us.s3.amazonaws.com_f470caa4-6561-11ea-abcc-910c5b38d9ed.webp)
Katika jimbo la New York pekee, watu zaidi ya 1,000 wameripotiwa kufa, ikiwa ni chini ya mwezi mmoja tangu mgonjwa wa mwanzo kugundulika kwenye jimbo hilo.
Kufikia jioni ya jana, eneo la mjini la jimbo hilo lilitangaza kuwa vifo vimefikia 776, huku miji mingine ikitangaza vifo 250, na hivyo kuifanya idadi kamili ya waliopoteza maisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s72-c/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Rwanda yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya COVID-19, wagonjwa wafikia 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s640/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Katika hotuba yake kwa taifa usiku wa Ijumaa Rais Paul Kagame alisema idadi hiyo itaendelea kuongezeka kwasababu wale waliotangamana na waathirika wanaendelea kutafutwa.
Katika visa vya hivi punde vya maambukizi, watu sita walitokea Dubai, wawili kutoka Afrika Kusini, mmoja kutoka Nigeria na mwigine alikuwa amesafiri maeneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wSIN4obw9o4/XqGql016cvI/AAAAAAALoB4/lurbBxaQQf4kbPNhbDWd7RrFCb7RbPBiQCLcBGAsYHQ/s72-c/7b32687d-4455-4fda-9748-b38fe8a08f55.jpg)
WATOA HUDUMA ZA AFYA MSIWAKIMBIE WAGONJWA-WAZIRI.UMMY MWALIMU
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka wahudumu wa afya nchini kufuata kanuni na miongozo iliyopo katika kutoa huduma kwa wagonjwa kwa kufanya hivyo wataweza kuepuka kupata maambukizi kutoka kwa wagonjwa wanaowahudumia.
Rai hiyo imetolewa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa vya kunawia mikono 100 vyenye ujazo wa lita 500 kutoka kwa Shirika lisiyo la kiserikali la Water Mission...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU: WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 24, WATATU WAMEPONA
WAZIRI MKUU: WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 24, WATATU WAMEPONA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hadi leo, hapa nchini kuna wagonjwa 24 waliothibitika kuwa na ugonjwa wa Homa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAFIKIA 284
![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mara ya mwisho Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alitoa taarifa kuwa jumla ya visa vya wagonjwa wa Corona ilikuwa 254 baada ya Wagonjwa 84 kuongezeka
Aidha, Waziri Mkuu amesema jumla ya watu 2,815 waliokuwa karibu na Wagonjwa wamefuatiliwa afya zao ambapo kati yao, watu 1733 hawana...
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Waziri Ummy Mwalimu atembelea kambi ya wagonjwa wa kipindupindu Nyankumbu, Geita ahimiza usafi
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akivaa vifaa maalum vya kujikinga na kipindupindu kabla ya kuingia kwenye kambi hiyo, kulia ni Mganga mfawidhi wa Kituo hicho Josephat Msafiri.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea katika kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu Nyankumbu, Wilayani Geita mapema Januari 4 huku akiitaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EolbNZRjHAw/XuZJJLCJoYI/AAAAAAALt1E/xRWzuZYgTiQTIL09y7pCu8ny8tBX6cM4wCLcBGAsYHQ/s72-c/e347af0a-2424-428d-9c7f-24389b7063fa.jpg)
WAZIRI UMMY AZITAKA HOSPITALI ZOTE NCHINI KUACHA KUWADAI DAMU WAGONJWA KABLA YA HUDUMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EolbNZRjHAw/XuZJJLCJoYI/AAAAAAALt1E/xRWzuZYgTiQTIL09y7pCu8ny8tBX6cM4wCLcBGAsYHQ/s640/e347af0a-2424-428d-9c7f-24389b7063fa.jpg)
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma mapema leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f84cd3f6-1b00-405c-b949-edc70fcf36bc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6cffadbb-902a-4893-9c86-cc8ad1aa2912.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 May
Wagonjwa wa dengue wafikia 376
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n5deLLaWWtQ/Xpm41kQRXBI/AAAAAAAC3Rs/fsxaLKQ1YewvHNsIoHHTdPS3uMGqOayWgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)