Wagonjwa wa Covid 19 wafikia 142,000 nchini Marekani
![](https://1.bp.blogspot.com/-emjxy0gfyT8/XoHmoILmTjI/AAAAAAALliU/lJ64zt2BFLkE5CI8rUarTksa5y7wdz2bACLcBGAsYHQ/s72-c/http%2B_com.ft.imagepublish.upp-prod-us.s3.amazonaws.com_f470caa4-6561-11ea-abcc-910c5b38d9ed.webp)
Maambukizi ya virusi vya corona nchini Marekani yameongezeka na kufikia 142,000 kulifanya taifa hilo kuongoza duniani, huku waliopoteza maisha wakifikia 2,500.
Katika jimbo la New York pekee, watu zaidi ya 1,000 wameripotiwa kufa, ikiwa ni chini ya mwezi mmoja tangu mgonjwa wa mwanzo kugundulika kwenye jimbo hilo.
Kufikia jioni ya jana, eneo la mjini la jimbo hilo lilitangaza kuwa vifo vimefikia 776, huku miji mingine ikitangaza vifo 250, na hivyo kuifanya idadi kamili ya waliopoteza maisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zNWeF9CJ9JI/XoHfb5nD4tI/AAAAAAALlhY/Hz83CRIHrg4r7IlkfpabV8DZsVj5mW7IgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s72-c/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Rwanda yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya COVID-19, wagonjwa wafikia 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NjyyuEV20cY/XoHkLUle3BI/AAAAAAALlh8/PmM1csaW52ITn8T4SMgXpu5g_wj8-1jywCLcBGAsYHQ/s640/xpresident-paul-kagame.jpg.pagespeed.ic.jpd2dkVyRN.jpg)
Katika hotuba yake kwa taifa usiku wa Ijumaa Rais Paul Kagame alisema idadi hiyo itaendelea kuongezeka kwasababu wale waliotangamana na waathirika wanaendelea kutafutwa.
Katika visa vya hivi punde vya maambukizi, watu sita walitokea Dubai, wawili kutoka Afrika Kusini, mmoja kutoka Nigeria na mwigine alikuwa amesafiri maeneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c6XH8HGP27o/XqlqqjfervI/AAAAAAALojI/atf5yQFtcggpC7YHIkTDsmPyySzlzijMgCLcBGAsYHQ/s72-c/1600x960_123620-coronavirus-6.jpg.png)
5 years ago
Michuzi5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v2i2mfV6-KE/XpQWjQJ--WI/AAAAAAALm1s/Pzy_1jl842QAMsNmhEVpZzeJt5QBoiZCQCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-v2i2mfV6-KE/XpQWjQJ--WI/AAAAAAALm1s/Pzy_1jl842QAMsNmhEVpZzeJt5QBoiZCQCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
5 years ago
Michuzi11 years ago
Mwananchi08 May
Wagonjwa wa dengue wafikia 376