WAGONJWA WENGINE 14 WA COVID-19 WAONGEZA NCHINI NA KUFIKIA 46.
![](https://1.bp.blogspot.com/-v2i2mfV6-KE/XpQWjQJ--WI/AAAAAAALm1s/Pzy_1jl842QAMsNmhEVpZzeJt5QBoiZCQCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-v2i2mfV6-KE/XpQWjQJ--WI/AAAAAAALm1s/Pzy_1jl842QAMsNmhEVpZzeJt5QBoiZCQCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tUNFg79Qh_k/Xpwwif9yE9I/AAAAAAALnaY/f2gHzQQD4ckNVfwJu0R8X0VkYp3Ydy7cQCLcBGAsYHQ/s72-c/zanzibar%252Bpic.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-emjxy0gfyT8/XoHmoILmTjI/AAAAAAALliU/lJ64zt2BFLkE5CI8rUarTksa5y7wdz2bACLcBGAsYHQ/s72-c/http%2B_com.ft.imagepublish.upp-prod-us.s3.amazonaws.com_f470caa4-6561-11ea-abcc-910c5b38d9ed.webp)
Wagonjwa wa Covid 19 wafikia 142,000 nchini Marekani
![](https://1.bp.blogspot.com/-emjxy0gfyT8/XoHmoILmTjI/AAAAAAALliU/lJ64zt2BFLkE5CI8rUarTksa5y7wdz2bACLcBGAsYHQ/s640/http%2B_com.ft.imagepublish.upp-prod-us.s3.amazonaws.com_f470caa4-6561-11ea-abcc-910c5b38d9ed.webp)
Katika jimbo la New York pekee, watu zaidi ya 1,000 wameripotiwa kufa, ikiwa ni chini ya mwezi mmoja tangu mgonjwa wa mwanzo kugundulika kwenye jimbo hilo.
Kufikia jioni ya jana, eneo la mjini la jimbo hilo lilitangaza kuwa vifo vimefikia 776, huku miji mingine ikitangaza vifo 250, na hivyo kuifanya idadi kamili ya waliopoteza maisha...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
Mipaka isiolindwa sasa imetajwa kuwa miongoni mwa maeneo hatari katika maambukizi ya virusi vya corona kulingana na naibu waziri wa Afya nchini Kenya Mercy Mwangangi.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa yaongezeka hadi kufikia 700 Kenya
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi 700 baada ya wagonjwa wapya 28 kuthibitishwa katika kipindi cha saa 24.
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
Wagonjwa 10 wanatoka katika mji wa Nairobi, 9 wanatoka Mombasa, Kwale , Nakuru na Taita taveta kukiwa na mgonjwa mmojammoja.
11 years ago
KwanzaJamii05 Jun
Wajawazito wanachanganywa na wagonjwa wengine
Na Albano Midelo
WANAWAKE wajawazito katika kijiji cha Likuyuseka wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wanadai wanadhalilishwa kupata huduma ya uzazi katika zahanati ya kijiji hicho kama inavyoonekana pichani ambayo haina chumba maalum cha kujifungulia.
Kijiji cha Likuyuseka kipo mpakani na mradi wa mgodi wa uchimbaji wa madini ya urani uliopo ndani ya pori la akiba la Selous ambalo lilitangazwa na shirika la umoja wa mataifa la UNESCO mwaka 1980 kuwa eneo hilo ni urithi wa Dunia.
Wakizungumza ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hI42iichCtE/XooEkbC7tzI/AAAAAAALmHw/UO3qF5BhAW0DV58Xft-xWYWWHmzRSnV-ACLcBGAsYHQ/s72-c/HAMADI%2B2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania