Wajawazito wanachanganywa na wagonjwa wengine
Na Albano Midelo WANAWAKE wajawazito katika kijiji cha Likuyuseka wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wanadai wanadhalilishwa kupata huduma ya uzazi katika zahanati ya kijiji hicho kama inavyoonekana pichani ambayo haina chumba maalum cha kujifungulia. Kijiji cha Likuyuseka kipo mpakani na mradi wa mgodi wa uchimbaji wa madini ya urani uliopo ndani ya pori la akiba la Selous ambalo lilitangazwa na shirika la umoja wa mataifa la UNESCO mwaka 1980 kuwa eneo hilo ni urithi wa Dunia. Wakizungumza ...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v2i2mfV6-KE/XpQWjQJ--WI/AAAAAAALm1s/Pzy_1jl842QAMsNmhEVpZzeJt5QBoiZCQCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-v2i2mfV6-KE/XpQWjQJ--WI/AAAAAAALm1s/Pzy_1jl842QAMsNmhEVpZzeJt5QBoiZCQCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hI42iichCtE/XooEkbC7tzI/AAAAAAALmHw/UO3qF5BhAW0DV58Xft-xWYWWHmzRSnV-ACLcBGAsYHQ/s72-c/HAMADI%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/6gjzQ3W86C8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tUNFg79Qh_k/Xpwwif9yE9I/AAAAAAALnaY/f2gHzQQD4ckNVfwJu0R8X0VkYp3Ydy7cQCLcBGAsYHQ/s72-c/zanzibar%252Bpic.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22