Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING: WAGONJWA WA CORONA 37 WAMEPONA, HUKU WENGINE 71 WAKISUBIRI VIPIMO VYA MWISHO

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa

Mipaka isiolindwa sasa imetajwa kuwa miongoni mwa maeneo hatari katika maambukizi ya virusi vya corona kulingana na naibu waziri wa Afya nchini Kenya Mercy Mwangangi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya

Katibu wa Wizara ya Afya Mercy Mwangangi ametangaza Ijumaa kuwa idadi ya waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Kenya imeongezeka na kufikia 2,474.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya

Kenya imeripoti jumla ya visa 411 vya maambukizi ya virusi vya corona Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za hivi punde zilizotangazwa na Waziri wa Afya wan chi hiyo Bwana Mutahi Kagwe

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Simulizi ya muuguzi ambaye hushuhudia saa za mwisho za wagonjwa wa corona

''Wakati mwingine ninahisi kama nahusika na kifo cha mtu,'' anaeleza muuguzi mmoja.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU: WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 24, WATATU WAMEPONA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu hoja mbalimbali za wabunge wakati alipohitimisha hoja  kuhusu  Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa Mwaka 2020/2021, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 6, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WAZIRI MKUU: WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 24, WATATU WAMEPONA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hadi leo, hapa nchini kuna wagonjwa 24 waliothibitika kuwa na ugonjwa wa Homa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mombasa yaandikisha wagonjwa wapya 19 huku idadi ikifikia 465 Kenya

Kenya imethibitisha wagonjwa 30 wapya hatua inayoongeza idadi ya visa vya ugonjwa huo nchini humo kufikia 465 kulingana na katibu wa kudumu katika wizara ya afya nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya

Wizara ya afya nchini Tanzania imethibitisha kuwa wagonjwa wengine wawili wamepona ugonjwa wa Corona huku nchi jirani ya Kenya ikitangaza kuwa watu wengine 14 wamepata maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Viongozi wa dini waomba kufunguliwa kwa sehemu za kuabudu Uganda huku wagonjwa wakifikia 417

Viongozi wa dini wamtaka rais Museveni kufungua sehemu za kufanyia ibada huku visa vya wagonjwa wa corona vikiongezeka na kufikia 417

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani