Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YATANGAZA VISA VYA CORONA 88I,11 WAMEPONA HUKU VIKIWEPO VIFO VINNE


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

VISA VINNE VIPYA VYA CORONA VYATHIBITISHWA KENYA


Kulingana na waziri Kagwe visa vinne vilivyoongezeka vya COVID-19 vinalifanya taifa hilo kuwa na jumla ya visa 42, tangu kisa cha kwanza kiliporipotiwa tarehe 13 Machi.

Visa hivyo ni pamoja na Mkenya mmoja, raia mmoja wa Cameroon, Mmarekani mmoja na raia mmoja wa Burkina Faso . Akitoa taarifa kuhusu janga la coronavirus

Bwana Kagwe amewashauri Wakenya wote kushirikiana kuzuwia maambukizi ya corona badala ya kuuachia mzigo huo serikali pekee:'' Tunahitaji kufikiria jinsi ya kushughulikia tatizo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yathibitisha visa vinne , raia waagizwa kuvaa barakoa

Waziri wa Afya nchini Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kwamba Kenya imethibitisha visa vinne zaidi vya virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19

Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali yatangaza visa 7 zaidi vya maambukizi Kenya

Kenya imetangaza visa 7 zaidi vya maambukiz ya corona, idadi hiyo ikifanya idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini humo kuwa 179

 

5 years ago

Michuzi

Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona

Waziri wa afya wa Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kuwa watu wengine wanane wamethibitishwa kuwa na ugonjwa wa corona nchini humo. Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya watu walioambukizwa virusi hivyo hatari.

Walioambukizwa ni Wakenya watano na raia watatu wa kigeni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 57.

Wanane hao waliingia nchini kupitia uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta kati ya Machi 4 na 17.

Serikali kwa sasa inafanya juhudi ya kuwatafuta waliotangamana nao ili kudhibiti...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona

Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya wagonjwa waliambukizwa virusi vya corona nchini Kenya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya

Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yarekodi visa viwili huku Rwanda 11 wakiruhusiwa kwenda nyumbani

Watu wawili wamepatikana na maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya huku wagonjwa 11 wakitarajiwa kuruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kupona virusi hivyo nchini Rwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani