TANZANIA YATANGAZA VISA VYA CORONA 88I,11 WAMEPONA HUKU VIKIWEPO VIFO VINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-sQJlTUjPto0/XpcfT-1cRHI/AAAAAAALnFU/hChNG8lFRdc5Sl7o4L_U4zidgRzt5JlVgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/6gjzQ3W86C8/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s72-c/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
VISA VINNE VIPYA VYA CORONA VYATHIBITISHWA KENYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s640/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
Visa hivyo ni pamoja na Mkenya mmoja, raia mmoja wa Cameroon, Mmarekani mmoja na raia mmoja wa Burkina Faso . Akitoa taarifa kuhusu janga la coronavirus
Bwana Kagwe amewashauri Wakenya wote kushirikiana kuzuwia maambukizi ya corona badala ya kuuachia mzigo huo serikali pekee:'' Tunahitaji kufikiria jinsi ya kushughulikia tatizo...
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Kenya yathibitisha visa vinne , raia waagizwa kuvaa barakoa
Waziri wa Afya nchini Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kwamba Kenya imethibitisha visa vinne zaidi vya virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Serikali yatangaza visa 7 zaidi vya maambukizi Kenya
Kenya imetangaza visa 7 zaidi vya maambukiz ya corona, idadi hiyo ikifanya idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini humo kuwa 179
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s640/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Walioambukizwa ni Wakenya watano na raia watatu wa kigeni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 57.
Wanane hao waliingia nchini kupitia uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta kati ya Machi 4 na 17.
Serikali kwa sasa inafanya juhudi ya kuwatafuta waliotangamana nao ili kudhibiti...
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya wagonjwa waliambukizwa virusi vya corona nchini Kenya.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Kenya yarekodi visa viwili huku Rwanda 11 wakiruhusiwa kwenda nyumbani
Watu wawili wamepatikana na maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya huku wagonjwa 11 wakitarajiwa kuruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kupona virusi hivyo nchini Rwanda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania