Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Serikali yatangaza visa 7 zaidi vya maambukizi Kenya

Kenya imetangaza visa 7 zaidi vya maambukiz ya corona, idadi hiyo ikifanya idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini humo kuwa 179

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19

Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa

Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya

Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yatangaza idadi kubwa zaidi ya wagonjwa kwa siku

Ni idadi kubwa zaidi ya maambukizi ya corona kuwahi kutangazwa kwa siku moja nchini humo tangu ugonjwa huo uingie Kenya mwezi Machi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya

Wizara ya afya nchini Tanzania imethibitisha kuwa wagonjwa wengine wawili wamepona ugonjwa wa Corona huku nchi jirani ya Kenya ikitangaza kuwa watu wengine 14 wamepata maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Serikali ya Kenya yatangaza visa viwili zaidi vya coronavirus

Watu wawili waliopatikana na visusi vya Ebola ni wale waliotangamana na mgonjwa wa kwanza

 

5 years ago

Michuzi

Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona

Waziri wa afya wa Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kuwa watu wengine wanane wamethibitishwa kuwa na ugonjwa wa corona nchini humo. Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya watu walioambukizwa virusi hivyo hatari.

Walioambukizwa ni Wakenya watano na raia watatu wa kigeni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 57.

Wanane hao waliingia nchini kupitia uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta kati ya Machi 4 na 17.

Serikali kwa sasa inafanya juhudi ya kuwatafuta waliotangamana nao ili kudhibiti...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona

Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya wagonjwa waliambukizwa virusi vya corona nchini Kenya.

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI: TANZANIA IMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA, ITABIDI TUFANYE TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA KWA KUVAA MASKI

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na viongozi wa diniNa Mwandishi Wetu WAMJW, Dar es SalaamWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema Tanzania imeanza kupata maambukizi ya Virusi vya Corona ya ndani kuanzia maambukizi yaliyopatika tarehe 08/04/2020.Amesema kuwa tahadhari kubwa inahitajika katika kuhakikisha kuzuia kuendelea kwa maambukizi ya kijamii itasababisha kuongezekana kwa kasi ya maambukizi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani