Virusi vya corona: Serikali yatangaza visa 7 zaidi vya maambukizi Kenya
Kenya imetangaza visa 7 zaidi vya maambukiz ya corona, idadi hiyo ikifanya idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini humo kuwa 179
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa
Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.
5 years ago
BBCSwahili27 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza idadi kubwa zaidi ya wagonjwa kwa siku
Ni idadi kubwa zaidi ya maambukizi ya corona kuwahi kutangazwa kwa siku moja nchini humo tangu ugonjwa huo uingie Kenya mwezi Machi.
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya
Wizara ya afya nchini Tanzania imethibitisha kuwa wagonjwa wengine wawili wamepona ugonjwa wa Corona huku nchi jirani ya Kenya ikitangaza kuwa watu wengine 14 wamepata maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Serikali ya Kenya yatangaza visa viwili zaidi vya coronavirus
Watu wawili waliopatikana na visusi vya Ebola ni wale waliotangamana na mgonjwa wa kwanza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s640/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Walioambukizwa ni Wakenya watano na raia watatu wa kigeni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 57.
Wanane hao waliingia nchini kupitia uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta kati ya Machi 4 na 17.
Serikali kwa sasa inafanya juhudi ya kuwatafuta waliotangamana nao ili kudhibiti...
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya wagonjwa waliambukizwa virusi vya corona nchini Kenya.
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: TANZANIA IMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA, ITABIDI TUFANYE TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA KWA KUVAA MASKI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania