VISA VINNE VIPYA VYA CORONA VYATHIBITISHWA KENYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s72-c/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
Kulingana na waziri Kagwe visa vinne vilivyoongezeka vya COVID-19 vinalifanya taifa hilo kuwa na jumla ya visa 42, tangu kisa cha kwanza kiliporipotiwa tarehe 13 Machi.
Visa hivyo ni pamoja na Mkenya mmoja, raia mmoja wa Cameroon, Mmarekani mmoja na raia mmoja wa Burkina Faso . Akitoa taarifa kuhusu janga la coronavirus
Bwana Kagwe amewashauri Wakenya wote kushirikiana kuzuwia maambukizi ya corona badala ya kuuachia mzigo huo serikali pekee:'' Tunahitaji kufikiria jinsi ya kushughulikia tatizo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s72-c/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
Visa vinne vipya vya coronavirus vyathibitishwa Kenya
![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s640/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
Visa hivyo ni pamoja na Mkenya mmoja, raia mmoja wa Cameroon, Mmarekani mmoja na raia mmoja wa Burkina Faso . Akitoa taarifa kuhusu janga la coronavirus
Bwana Kagwe amewashauri Wakenya wote kushirikiana kuzuwia maambukizi ya corona badala ya kuuachia mzigo huo serikali pekee:'' Tunahitaji kufikiria jinsi ya kushughulikia...
5 years ago
BBCSwahili29 Mar
Coronavirus: Visa vinne vipya vya coronavirus vyathibitishwa Kenya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s640/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Walioambukizwa ni Wakenya watano na raia watatu wa kigeni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 57.
Wanane hao waliingia nchini kupitia uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta kati ya Machi 4 na 17.
Serikali kwa sasa inafanya juhudi ya kuwatafuta waliotangamana nao ili kudhibiti...
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Kenya yathibitisha visa vinne , raia waagizwa kuvaa barakoa
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sQJlTUjPto0/XpcfT-1cRHI/AAAAAAALnFU/hChNG8lFRdc5Sl7o4L_U4zidgRzt5JlVgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19