Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda
Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Kwa nini virusi vya corona husambaa haraka miongoni mwa wanadamu
Virusi hivi hatari kwa jina SARS-CoV-2, tayari vimesambaa katika kila nchi duniani na vimeambukiza zaidi ya nusu milioni ya watu tangu vilipotambulika nchini China mwezi Disemba 2019.
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya wagonjwa waliambukizwa virusi vya corona nchini Kenya.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa
Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Kenya yarekodi visa viwili huku Rwanda 11 wakiruhusiwa kwenda nyumbani
Watu wawili wamepatikana na maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya huku wagonjwa 11 wakitarajiwa kuruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kupona virusi hivyo nchini Rwanda.
5 years ago
BBCSwahili29 Mar
Coronavirus: Visa vinne vipya vya coronavirus vyathibitishwa Kenya
Waziri wa Afya nchini Kenya amesema kuwa visa vingine vinne vya coronavirus vimethibitishwa baada ya watu hao kupimwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-y5FmbWDtpg4/XneOBciSfyI/AAAAAAALkvc/kNrLdQY59Kk7O7b2FWDIM20scho9BiHxwCLcBGAsYHQ/s640/_111388282_7d9478ca-089d-4d0a-a2bf-85b503328235.jpg)
Walioambukizwa ni Wakenya watano na raia watatu wa kigeni walio na umri wa kati ya miaka 20 hadi 57.
Wanane hao waliingia nchini kupitia uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta kati ya Machi 4 na 17.
Serikali kwa sasa inafanya juhudi ya kuwatafuta waliotangamana nao ili kudhibiti...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s72-c/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
VISA VINNE VIPYA VYA CORONA VYATHIBITISHWA KENYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s640/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
Visa hivyo ni pamoja na Mkenya mmoja, raia mmoja wa Cameroon, Mmarekani mmoja na raia mmoja wa Burkina Faso . Akitoa taarifa kuhusu janga la coronavirus
Bwana Kagwe amewashauri Wakenya wote kushirikiana kuzuwia maambukizi ya corona badala ya kuuachia mzigo huo serikali pekee:'' Tunahitaji kufikiria jinsi ya kushughulikia tatizo...
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Idadi walioambukizwa virusi vya corona yaongezeka Rwanda
Wizara ya afya nchini Rwanda imesema kuwa watu wengine wawili wamepatikana na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona yafikia 70 Rwanda
Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumapili na kufikia 70.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania