Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona yafikia 70 Rwanda
Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumapili na kufikia 70.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Idadi walioambukizwa virusi vya corona yaongezeka Rwanda
Wizara ya afya nchini Rwanda imesema kuwa watu wengine wawili wamepatikana na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa Kenya yafikia 535
Kenya yarekodi idadi kubwa ya walioambukizwa corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Ramani inayoonesha idadi ya watu walioambukizwa na waliofariki kutokana na virusi vya corona duniani
Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?
Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Uganda, Rwanda yapanda kwa kasi
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona (Covid-19) wafikia 36 Rwanda na 8 Uganda
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553
Wagonjwa 54 wa virusi vya corona wamethibitishwa kupona nchini Kenya , ikiwa ndio idadi kubwa zaidi kutangazwa kwa siku
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa yaongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa'
Idadi ya wagonjwa wa corona inaendelea kuongezeka Madagascar licha ya nchi hiyo kudai kuwa imepata ''dawa'' ya kukabiliana na maradhi hayo.
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa Zanzibar yafikia saba
Mamlaka ya kisiwani Zanzibar, imetangaza kuwa na maambukizi mapya ya wagonjwa wawili wenye maambukizi ya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania