Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona yafikia 70 Rwanda

Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumapili na kufikia 70.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi walioambukizwa virusi vya corona yaongezeka Rwanda

Wizara ya afya nchini Rwanda imesema kuwa watu wengine wawili wamepatikana na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa Kenya yafikia 535

Kenya yarekodi idadi kubwa ya walioambukizwa corona kwa siku

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ramani inayoonesha idadi ya watu walioambukizwa na waliofariki kutokana na virusi vya corona duniani

Tayari virusi hivyo vimesambaa katika mabara yote duniani isipokuwa Antarctica

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?

Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Uganda, Rwanda yapanda kwa kasi

Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona (Covid-19) wafikia 36 Rwanda na 8 Uganda

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553

Wagonjwa 54 wa virusi vya corona wamethibitishwa kupona nchini Kenya , ikiwa ndio idadi kubwa zaidi kutangazwa kwa siku

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887

Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa yaongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa'

Idadi ya wagonjwa wa corona inaendelea kuongezeka Madagascar licha ya nchi hiyo kudai kuwa imepata ''dawa'' ya kukabiliana na maradhi hayo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa Zanzibar yafikia saba

Mamlaka ya kisiwani Zanzibar, imetangaza kuwa na maambukizi mapya ya wagonjwa wawili wenye maambukizi ya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani