Wagonjwa walazwa bila mashuka Tumbi
Baadhi ya wagonjwa waliolazwa na kupatiwa huduma mbalimbali katika Hospitali Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi wamesema wapo katika hatari ya kupata magonjwa ya kuambukiza hasa ya ngozi kutokana na vitanda wanavyolalia kutokua na mashuka na vichache kutumika bila kubadilishwa mashuka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Nov
Wagonjwa vituo vya afya Tanga kutumia mashuka yao kutokana na uhaba wa mashuka
Uhaba wa mashuka katika vituo vya afya mkoani Tanga umesababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi jambo ambalo halikubaliki kiafya.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza amekiri kuwepo kwa tatizo hilo ambalo limekuwa likisababisha usumbufu kwa wagonjwa wanaohudumiwa katika vituo hivyo.
Mahiza amesema hayo wakati akipokea msaada wa mashuka kutoka Mfuko wa Bima ya Afya NHIF kwa ajili ya kukabiliana na tatizo hilo katika mkoa wa Tanga.
Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga inajumla ya...
9 years ago
StarTV05 Sep
Wagonjwa hospitali ya mkoa Singida watumia mashuka yao
Wagonjwa wanaolazwa katika hospitali ya mkoa wa Singida wapo hatarini kupata maambukizi ya magonjwa mengine kutokana na kutumia mashuka wanayotoa nyumbani na kujifunika bila kuyafanyia usafi suala ambali ni kinyume na taratibu na kanuni za afya.
Hii ni kutokana na Hospitali hiyo kuwa na mashuka 235 pekee kati ya 2,500 yanayohitajika, kiwango ambacho ni chini ya asilimia 10 ya mahitaji hivyo kuulazimu uongozi kutoa ruksa kwa kila mgonjwa anayelazwa kwenda na shuka lake.
Wagonjwa mbalimbali...
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Hospitali ya Mt. Meru yakabiliwa na upungufu wa mashuka ya kujifunikia wagonjwa
Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group, Faustine Mwanadago (kushoto)akimkabidhi msaada wa mashuka na maji muuguzi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Mt Meru, Sifael Masawe jana kikundi hicho kilipofanya ziara ya kutembelea wagonjwa hospitalini hapo, jumla ya mashuka 300 na maji katoni 10 zenye thamani ya zaidi ya sh. 2 milioni zilikabidhiwa ,anayeshuhudia pembeni ni Makamu mwenyekiti wa kikundi hicho, Jasmine Kiure.
Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group ,Faustine...
11 years ago
Mwananchi11 May
Wagonjwa wa dengue watibiwa bila kupimwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s72-c/huduma-1-768x693.jpg)
WAGONJWA WENYE MATATIZO YA MOYO WASHAURIWA KUHUDHURIA KLINIKI BILA KUKOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s1600/huduma-1-768x693.jpg)
Wataalamu wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha Uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimlaza mgonjwa kabla ya kuzibuliwa mshipa mkubwa wa damu ya moyo ambao haukuwa unapitisha damu vizuri. Upasuaji huo wa bila kufungua kifua unafanyika kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory) ambapo mgonjwa anatobolewa tundu dogo katika mshipa wa damu ulioko kwenye paja.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-2-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-3-1024x683.jpg)
Wataalamu wabobezi wa moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa...
11 years ago
Daily News14 May
Tumbi Hospital expansion stalls
Daily News
MORE funds are needed to implement the government's intention of turning Tumbi Hospital in Kibaha into a referral hospital. This was said by a Deputy Minister in the Prime Minister's Office, Mr Aggrey Mwanri, when responding to a question from Sylvester ...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Hospitali Tumbi haina CT Scan
HOSPITALI ya Rufaa ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha, mkoani Pwani, inakabiliwa na ukosefu wa kompyuta ya Tomography (CT Scan), hali inayosababisha ongezeko la vifo vya majeruhi wa ajali. Ukosefu wa...
11 years ago
Habarileo20 Apr
Hospitali ya Tumbi haina CT scan, X-ray
HOSPITALI Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani ya Tumbi, ina ukosefu wa vifaa vya kupimia magonjwa mbalimbali, vikiwemo CT scan na X-ray.
11 years ago
TheCitizen02 May
Mortuary services resume at Tumbi hospital