Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hospitali ya Mt. Meru yakabiliwa na upungufu wa mashuka ya kujifunikia wagonjwa

 

unnamed (1)

Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group, Faustine Mwanadago (kushoto)akimkabidhi msaada wa mashuka na maji muuguzi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Mt Meru, Sifael Masawe jana kikundi hicho kilipofanya ziara ya kutembelea wagonjwa hospitalini hapo, jumla ya mashuka 300 na maji katoni 10 zenye thamani ya zaidi ya sh. 2 milioni zilikabidhiwa ,anayeshuhudia pembeni ni Makamu mwenyekiti wa kikundi hicho, Jasmine Kiure.

unnamed

Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group ,Faustine...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wagonjwa hospitali ya mkoa Singida watumia mashuka yao

Wagonjwa wanaolazwa katika hospitali ya mkoa wa Singida wapo hatarini kupata maambukizi ya magonjwa mengine kutokana na kutumia mashuka wanayotoa nyumbani na kujifunika bila kuyafanyia usafi suala ambali ni kinyume na taratibu na kanuni za afya.

Hii ni kutokana na Hospitali hiyo kuwa na mashuka  235 pekee kati ya 2,500 yanayohitajika, kiwango ambacho ni chini ya asilimia 10 ya mahitaji hivyo kuulazimu uongozi kutoa ruksa kwa kila mgonjwa anayelazwa kwenda na shuka lake.

Wagonjwa mbalimbali...

 

9 years ago

StarTV

Wagonjwa vituo vya afya Tanga kutumia mashuka yao kutokana na uhaba wa mashuka

Uhaba wa mashuka katika vituo vya afya mkoani Tanga umesababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi jambo ambalo halikubaliki kiafya.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza amekiri kuwepo kwa tatizo hilo ambalo limekuwa likisababisha usumbufu kwa wagonjwa wanaohudumiwa katika vituo hivyo.

Mahiza amesema hayo wakati akipokea msaada wa mashuka kutoka Mfuko wa Bima ya Afya NHIF kwa ajili ya kukabiliana na tatizo hilo katika mkoa wa Tanga.

 Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga inajumla ya...

 

11 years ago

Michuzi

SHULE YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VYOO

 Diwani wa kata ya Mgama Denis Lupala akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mgama wakati alipowatembelea na kula pamoja chakula cha mchana.  Diwani wa kata ya Mgama Denis Lupala akizungumza na mwalimu mkuu wa shule hiyo Simeone Lihuluku.   Diwani wa kata ya Mgama, Denis Lupala akimpakulia chakula mmoja wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mgama wakati alipowatembelea na kula pamoja chakula cha mchana baadhi ya wanafunzi shule ya sekondari ya Mgama wakiwa katika foleni ya...

 

11 years ago

Michuzi

MABWENI YA WASICHANA YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VITANDA

 Mwalimu mkuu shule ya sekondari Mwembetogwa Kelvin Mlengule akitoa maelezo kwa mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita kuhusiana na mabweni ya wasichana wa shule hiyo.  Baadhi ya wahitimu wa shule ya sekondari Mwembetogwa  Mwalimu mkuu shule ya sekondari Mwembetogwa Kelvin Mlengule akitoa taarifa ya shule kwa wazazi na wanafunzi wa shule ya sekondari Mwembetogwa katika mahafali ya 18 ya shule hiyo. Mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita akichangisha fedha kwa wazazi kwa ajili ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ustawi wa Jamii yakabiliwa na upungufu wa watumishi

Dk.-Seif-Rashid

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.

Na Mwandishi wetu

Wizara ya Afya kupitia idara ya ustawi wa jamii, inakabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa maafisa ustawi wa jamii katika halmashauri wanazotoa huduma kwa watoto walio katika mikinzano na sheria.

Idara hiyo imekuwa ikishirikiana pamoja na wadau mbalimbali kama vile polisi, Mahakama, magereza, tume ya haki za binadamu na utawala bora pamoja na mashirika mbalimbali ya maendeleo ya kitaifa na kimataifa katika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Singida yakabiliwa na Upungufu wa watumishi sekta ya Afya

DSC09892

Mkuu wa wilaya ya Singida.Queen Mlozi, akizungumza kwenye kikao cha mrejesho wa utafiti uliofanywa na timu ya ufuatiliaji na uwajibikaji jamii (Social Accountability Monitoring-SAM) kilichofanyika mjini Singida.Timu ya SAM kwa kushirikiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida,kwa pamoja walifanya utafiti juu ya uwajibikaji kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya.Kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida,Idd Mnyampanda nas kulia ni mwenyekiti wa kikao...

 

11 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walazwa bila mashuka Tumbi

Baadhi ya wagonjwa waliolazwa na kupatiwa huduma mbalimbali katika Hospitali Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi wamesema wapo katika hatari ya kupata magonjwa ya kuambukiza hasa ya ngozi kutokana na vitanda wanavyolalia kutokua na mashuka na vichache kutumika bila kubadilishwa mashuka.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh. Amina Mwidau (CUF) afaraji wagonjwa na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa Hospitali ya wilaya ya Pangani

DSC00581

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani, Mugiri Emili (kushoto) akisisitiza jambo kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF), Amina Mwidau wakati akipotembelea hospitali hiyo kuwafariji wagonjwa na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni, sukari ikiwemo mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo.(Picha na Mpiga Picha wetu,Pangani).

DSC00583

Mbunge wa  Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau...

 

10 years ago

Habarileo

Hospitali ya Mwananyamala yapewa mashuka 200

MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia maendeleo na uboreshaji wa Hospitali ya Mwananyamala, kutokana na kuzidiwa na wagonjwa huku miundombinu ikiwa ni ile ile.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani