Hospitali ya Mwananyamala yapewa mashuka 200
MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia maendeleo na uboreshaji wa Hospitali ya Mwananyamala, kutokana na kuzidiwa na wagonjwa huku miundombinu ikiwa ni ile ile.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTIMES FM YATOA MASHUKA 200 HOSPITALI YA MWANANYAMALA
11 years ago
MichuziNMB YATOA MSAADA WA MASHUKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida
Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00136.jpg?width=650)
NHIF YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA 200 KWA HOSPITALI YA MKOA MJINI SINGIDA
9 years ago
MichuziKAMPUNI YA ULINZI YA SGA YATOA MSAADA WA MASHINE YA KUPUMULIA NA MASHUKA WODI YA WATOTO MWANANYAMALA
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF yakabidhi mashuka hospitali ya wilaya
Akikabidhi mashuka hayo kwa uongozi wa hospitali ya wilaya ya Kibondo, meneja wa NHIF mkoa kigoma,Elius Odhiambo alisema kuwa kutolewa kwa mashuka hayo ni sehemu ya mpango wa mfuko huo katika kuboresha utoaji huduma katika sekta ya afya.
Odhiambo alisema kuwa mashuka hayo yaliyotolewa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L3yruAQOY-8/VD6Ide55NVI/AAAAAAAGqqE/C-morK-QBqc/s72-c/1.jpg)
NHIF yatoa msaada wa mashuka Hospitali ya Vijibweni
![](http://3.bp.blogspot.com/-L3yruAQOY-8/VD6Ide55NVI/AAAAAAAGqqE/C-morK-QBqc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--NxqcyVw2PQ/VD6IdaYL6gI/AAAAAAAGqqM/jGhCnq4yR5Q/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HkPURBFyqkM/VD6IdhK0EOI/AAAAAAAGqqI/dE3deGhes5w/s1600/3.jpg)
10 years ago
Habarileo12 Jul
NHIF yapunguza uhaba wa mashuka hospitali ya Singida
HOSPITALI ya Mkoa wa Singida inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mashuka hali inayosababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi wakati wote wanapokuwa wamelazwa hospitalini hapo.