Ustawi wa Jamii yakabiliwa na upungufu wa watumishi
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.
Na Mwandishi wetu
Wizara ya Afya kupitia idara ya ustawi wa jamii, inakabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa maafisa ustawi wa jamii katika halmashauri wanazotoa huduma kwa watoto walio katika mikinzano na sheria.
Idara hiyo imekuwa ikishirikiana pamoja na wadau mbalimbali kama vile polisi, Mahakama, magereza, tume ya haki za binadamu na utawala bora pamoja na mashirika mbalimbali ya maendeleo ya kitaifa na kimataifa katika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Singida yakabiliwa na Upungufu wa watumishi sekta ya Afya
Mkuu wa wilaya ya Singida.Queen Mlozi, akizungumza kwenye kikao cha mrejesho wa utafiti uliofanywa na timu ya ufuatiliaji na uwajibikaji jamii (Social Accountability Monitoring-SAM) kilichofanyika mjini Singida.Timu ya SAM kwa kushirikiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida,kwa pamoja walifanya utafiti juu ya uwajibikaji kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya.Kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida,Idd Mnyampanda nas kulia ni mwenyekiti wa kikao...
11 years ago
MichuziSHULE YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VYOO
11 years ago
MichuziMABWENI YA WASICHANA YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VITANDA
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Hospitali ya Mt. Meru yakabiliwa na upungufu wa mashuka ya kujifunikia wagonjwa
Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group, Faustine Mwanadago (kushoto)akimkabidhi msaada wa mashuka na maji muuguzi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Mt Meru, Sifael Masawe jana kikundi hicho kilipofanya ziara ya kutembelea wagonjwa hospitalini hapo, jumla ya mashuka 300 na maji katoni 10 zenye thamani ya zaidi ya sh. 2 milioni zilikabidhiwa ,anayeshuhudia pembeni ni Makamu mwenyekiti wa kikundi hicho, Jasmine Kiure.
Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group ,Faustine...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
10 years ago
MichuziFISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
.
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Miundombinu Ustawi wa Jamii kuboreshwa
SERIKALI imeahidi kulitafutia ufumbuzi tatizo la miundombinu linaloikabili Taasisi ya Ustawi wa Jamii ili kukabiliana na ongezeko kubwa la wanafunzi kila mwaka katika Taasisi hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki katika...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Ustawi wa Jamii kuwa na jengo la kisasa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuwepo kwa Bodi ya Wathamini na Ukadiriaji kwa kiasi kikubwa itasaidia kuweka viwango sahihi vitakavyotumika kwa shughuli mbali mbali ikiwemo za biashara.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Serikali yatakiwa kuthamini maofisa ustawi wa jamii
BAADHI ya wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii wamesema serikali kutoitambua Idara ya Ustawi wa Jamii husababisha wataalamu wake washindwe kutekeleza majukumu yao ipasavyo katika jamii. Akizungumza kwa niaba...