Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ustawi wa Jamii kuwa na jengo la kisasa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuwepo kwa Bodi ya Wathamini na Ukadiriaji kwa kiasi kikubwa itasaidia kuweka viwango sahihi vitakavyotumika kwa shughuli mbali mbali ikiwemo za biashara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Dk Hamis Andrea Kigwangalla ndiye Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Pombe Magufuli.

 

10 years ago

Michuzi

FISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA

 Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha  Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo  Elisha Maghembe.Picha na Mahmoud Ahmad
.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Miundombinu Ustawi wa Jamii kuboreshwa

SERIKALI imeahidi kulitafutia ufumbuzi tatizo la miundombinu linaloikabili Taasisi ya Ustawi wa Jamii ili kukabiliana na ongezeko kubwa la wanafunzi kila mwaka katika Taasisi hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki katika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ustawi wa Jamii yakabiliwa na upungufu wa watumishi

Dk.-Seif-Rashid

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.

Na Mwandishi wetu

Wizara ya Afya kupitia idara ya ustawi wa jamii, inakabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa maafisa ustawi wa jamii katika halmashauri wanazotoa huduma kwa watoto walio katika mikinzano na sheria.

Idara hiyo imekuwa ikishirikiana pamoja na wadau mbalimbali kama vile polisi, Mahakama, magereza, tume ya haki za binadamu na utawala bora pamoja na mashirika mbalimbali ya maendeleo ya kitaifa na kimataifa katika...

 

10 years ago

Vijimambo

TPHA KUJA NA JENGO LA KISASA

Na Andrew Chale, Bagamoyo
CHAMA Cha Afya ya Jamii Tanzania (Tanzania Public Health Association-TPHA), kipo kwenye mkakati kabambe wa kuendeleza na kuinua mapato ya chama hicho ikiwemo kujenga jengo la kitega uchumi la kisasa litakalo kuwa na zaidi ya gorofa 20, katika makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam.
Hayo yalibainishwa mjini hapa jana kwenye kongamano la 31 la Kisayansi na Mkutano mkuu wa mwaka wa TPHA unaoendelea katika ukumbi wa Stella Maris, mjini Bagamoyo ambapo wataalamu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 40 ya Taasisi ya Ustawi wa Jamii na mafanikio lukuki

“ELIMU  bora kwa huduma bora za kijamii,” ni  kaulimbiu ya maadhimisho miaka 40 ya Taasisi ya Ustawi wa Jamii. Taasisi ya Ustawi wa Jamii ni miongoni mwa taasisi za elimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii someni hapa

SIKU zote Watanzania tumekuwa tukiamini kwamba maendeleo ya taifa letu hili bado ni duni sana. Pamoja na kilio chetu hiki cha uhaba wa maendeleo, leo nataka nizungumzie ugonjwa hatari wa saratani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatakiwa kuthamini maofisa ustawi wa jamii

BAADHI ya wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii wamesema serikali kutoitambua Idara ya Ustawi wa Jamii husababisha wataalamu wake washindwe kutekeleza majukumu yao ipasavyo katika jamii. Akizungumza kwa niaba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kebwe: Ustawi wa jamii si kusuluhisha ndoa pekee

NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Kebwe Stephe Kebwe, amesema ustawi wa jamii haupo kwa ajili ya kusuluhisha masuala ya ndoa pekee, bali kuna mambo mbalimbali kama msongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani