Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kebwe: Ustawi wa jamii si kusuluhisha ndoa pekee

NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Kebwe Stephe Kebwe, amesema ustawi wa jamii haupo kwa ajili ya kusuluhisha masuala ya ndoa pekee, bali kuna mambo mbalimbali kama msongo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMA‏

Wasanii wa Kundi la Mjomba Band, wakiigiza kwa kufukuzwa kwa mwanamke aliyekuwa na maradhi ya Fistula, na mumewe ikiwa ni ishara ya kunyanyapaliwa kwa wenye maradhi hayo katika jamii. Onyesho hilo lilifanyika mjini Dodoma jana wakati wa hitimisho ya kampeni dhidi ya maradhi ya Fistula iliyofanyika katika mikoa mitatu Nchini na kumalizikia katika mikoa ya kanda ya kati mjini Dodoma. Kampeni hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation ilikuwa na lengo la kutoa...

 

10 years ago

GPL

NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMA‏

Wasanii wa kundi la Mjomba band, wakiigiza kwa kufukuzwa kwa  mwanamke  aliyekuwa na maradhi ya Fistula, na mumewe ikiwa  ni ishara ya kunyanyapaliwa  kwa wenye maradhi hayo katika jamii. Onyesho hilo lilifanyika mjini Dodoma jana  wakati wa hitimisho ya kampeni dhidi ya maradhi ya Fistula iliyofanyika katika mikoa mitatu Nchini na kumalizikia katika mikoa ya kanda ya kati mjini Dodoma. Kampeni hiyo ilikuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Dk Hamis Andrea Kigwangalla ndiye Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Pombe Magufuli.

 

10 years ago

Michuzi

FISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA

 Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha  Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo  Elisha Maghembe.Picha na Mahmoud Ahmad
.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Miundombinu Ustawi wa Jamii kuboreshwa

SERIKALI imeahidi kulitafutia ufumbuzi tatizo la miundombinu linaloikabili Taasisi ya Ustawi wa Jamii ili kukabiliana na ongezeko kubwa la wanafunzi kila mwaka katika Taasisi hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki katika...

 

10 years ago

Habarileo

Ustawi wa Jamii kuwa na jengo la kisasa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuwepo kwa Bodi ya Wathamini na Ukadiriaji kwa kiasi kikubwa itasaidia kuweka viwango sahihi vitakavyotumika kwa shughuli mbali mbali ikiwemo za biashara.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ustawi wa Jamii yakabiliwa na upungufu wa watumishi

Dk.-Seif-Rashid

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.

Na Mwandishi wetu

Wizara ya Afya kupitia idara ya ustawi wa jamii, inakabiliwa na changamoto kubwa ya upungufu wa maafisa ustawi wa jamii katika halmashauri wanazotoa huduma kwa watoto walio katika mikinzano na sheria.

Idara hiyo imekuwa ikishirikiana pamoja na wadau mbalimbali kama vile polisi, Mahakama, magereza, tume ya haki za binadamu na utawala bora pamoja na mashirika mbalimbali ya maendeleo ya kitaifa na kimataifa katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii someni hapa

SIKU zote Watanzania tumekuwa tukiamini kwamba maendeleo ya taifa letu hili bado ni duni sana. Pamoja na kilio chetu hiki cha uhaba wa maendeleo, leo nataka nizungumzie ugonjwa hatari wa saratani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 40 ya Taasisi ya Ustawi wa Jamii na mafanikio lukuki

“ELIMU  bora kwa huduma bora za kijamii,” ni  kaulimbiu ya maadhimisho miaka 40 ya Taasisi ya Ustawi wa Jamii. Taasisi ya Ustawi wa Jamii ni miongoni mwa taasisi za elimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani