Hospitali ya Tumbi haina CT scan, X-ray
HOSPITALI Teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani ya Tumbi, ina ukosefu wa vifaa vya kupimia magonjwa mbalimbali, vikiwemo CT scan na X-ray.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Hospitali Tumbi haina CT Scan
HOSPITALI ya Rufaa ya Tumbi iliyopo wilayani Kibaha, mkoani Pwani, inakabiliwa na ukosefu wa kompyuta ya Tomography (CT Scan), hali inayosababisha ongezeko la vifo vya majeruhi wa ajali. Ukosefu wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Hospitali Tumbi yahitaji kituo cha damu salama
HOSPITALI Teule ya Rufaa ya Tumbi iliyopo Kibaha mkoani Pwani, inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa kituo cha damu salama. Ukosefu wa kituo hicho umekuwa ukisababisha damu inayokusanywa hospitalini...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..
Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]
The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MichuziSPEA ZA MASHINE ZA MRI NA CT-SCAN ZIMEFIKA NA MATENGENEZO YAMESHAANZA KATIKA HOSPITALI YA MHIMBILI
9 years ago
MichuziSERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU
Serikali imenunua mashine mpya ya CT-Scan yenye thamani ya takriban dola za Marekani milioni 1.7 yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...
11 years ago
Daily News14 May
Tumbi Hospital expansion stalls
Daily News
MORE funds are needed to implement the government's intention of turning Tumbi Hospital in Kibaha into a referral hospital. This was said by a Deputy Minister in the Prime Minister's Office, Mr Aggrey Mwanri, when responding to a question from Sylvester ...
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wagonjwa walazwa bila mashuka Tumbi
11 years ago
TheCitizen02 May
Mortuary services resume at Tumbi hospital