UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?
Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera.
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA WA FEDHA KUANZA KUSAJILIWA MWEZI HUU,WAMO MAWAKALA WA PESA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Bw.Bernard Dadi akizungumza kwenye Semina ya Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha inayoendelea jijini Arusha, kuhusu Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma wa kifedha,na ufafanuzi zaidi kuhusukusajiliwa kwa Watoa huduma wa Fedha nchini.
Dadi amesema kuwa usajili huo utakuwa ni wa lazima kwa yoyote atakaye husika na utoaji wa huduma wa Fedha,na kwamba usajili huo unatarajiwa kuanza rasmi Mwezi Machi-Aprili 2020 kwa...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Ikulu kutamu kwa Nkurunziza, Kagame, Kabila bila kujua mwisho wa kivuli chao
11 years ago
Mwananchi11 May
Wagonjwa wa dengue watibiwa bila kupimwa
10 years ago
CloudsFM16 Oct
Hivi unawezaje kukosa nafasi adimu kama hii ya kukaa na kupiga picha na T.I.?????
Hey Ladies hivi unawezaje kukosa nafasi adimu kama hii ya kukaa na kupiga picha na T.I.????? - Post picha yako kwenye page ya Facebook ya Fiesta ( https://www.facebook.com/pages/Fiesta/339879459495368) kisha hakikisha inapata likes nyingi kuliko nyingine zote - then utapata nafasi ya kuwa mmoja wa washindi watano wa tiketi za Fiesta After Party.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mchezaji wa timu ya taifa Honduras auawa kwa risasi
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
9 years ago
Bongo524 Aug
Vitu unavyotakiwa kujua kabla ya kuanzisha biashara yako
10 years ago
Vijimambo27 Dec
KATIBU MKUU WA YANGA KUSAKWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA KUJIESCROW NA MA PESA YA TIMU HIYO
![](http://api.ning.com/files/gYxGligqRT0cWhq2IcLvrRsImqd3TmSvUGy4cMEPKcXPUGMjWyaCBtPgMY6dEQDscIvxVJau2sr6fueghoBW2AQG-GbCScqK/Njovu3..jpg?width=650)
Na Lucy MginaJESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limekuwa likiendelea kumsaka aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu.Habari za kipolisi kutoka ndani ya Jeshi hilo zimeeleza kwamba juhudi za kumtia nguvuni Njovu anayetuhumiwa na ubadhilifu zimekuwa zikiendelea kwa juhudi kubwa.“Unajua askari wetu walikwenda kumshika Njovu wakiongozana na mwanasheria wa Yanga, lakini akashitukia mtego na kutimua mbio. Sasa juhudi zinafanyika ili kumshika kwa kuwa tuna RB...
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Ashinda Scrabble bila kujua lugha