WATOA HUDUMA WA FEDHA KUANZA KUSAJILIWA MWEZI HUU,WAMO MAWAKALA WA PESA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Bw.Bernard Dadi akizungumza kwenye Semina ya Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha inayoendelea jijini Arusha, kuhusu Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma wa kifedha,na ufafanuzi zaidi kuhusukusajiliwa kwa Watoa huduma wa Fedha nchini.
Dadi amesema kuwa usajili huo utakuwa ni wa lazima kwa yoyote atakaye husika na utoaji wa huduma wa Fedha,na kwamba usajili huo unatarajiwa kuanza rasmi Mwezi Machi-Aprili 2020 kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
BENKI YA DUNIA: Tanzania yaongoza Duniani kutoa huduma za Pesa kwa simu za mkononi!
Picha ya Maktaba inavyoonesha namna ya huduma za kifedha zinavyofanyika kutoka simu ya mteja mmoja na kwenda kwa mteja mwingine kwa kutumiana pesa kwa njia hiyo ya simu za Mkononi, ambapo kwa Tanzania imekuwa kinara katika huduma hiyo.
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa
kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania
ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lBkSnz9u4Ck/Xsg47FlZ8KI/AAAAAAALrVQ/2VGg2SAV7BEr-Gq9M12PQK0TtCRRqlxuQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B10.51.05%2BPM.jpeg)
Huduma ya pesa kwa njia ya simu inavyoweza kutusaidia kupunguza maambuki ya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-lBkSnz9u4Ck/Xsg47FlZ8KI/AAAAAAALrVQ/2VGg2SAV7BEr-Gq9M12PQK0TtCRRqlxuQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B10.51.05%2BPM.jpeg)
Katika nyakati za changamoto hii ni lazima kuhakikisha sote tunashirikiana ili kuzuia kuenea kwa maambukizi ya kirusi cha homa hii.
Tumeona namna watu binafsi na hata wafanyabiashara wanavyobuni mbinu mpya ili maisha yaweza kuendelea huku tukipambana kuzuia maambukizi. Sekta ya usafiri ilikuwa moja ya sekta za mwanzo sana kutafuta mbinu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aA0eNO2S99g/U9D_mW01eDI/AAAAAAAF5uI/76Oh5C_Ed8U/s72-c/unnamed.jpg)
Nipashe, The Guardian yashirikiana na Vodacom kutoa taarifa kwa njia ya simu ya mkononi
![](http://2.bp.blogspot.com/-aA0eNO2S99g/U9D_mW01eDI/AAAAAAAF5uI/76Oh5C_Ed8U/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
UNUNUAJI NA UUZAJI WA BIDHAA UMERAHISISHWA — KAMPUNI YA MASOKO KWA NJIA YA MTANDAO YAZINDUA “APP” YA SIMU ZA MKONONI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Mchakato wa uuzaji na ununuaji wa bidhaa umerahisishwa sana kwa kadri waendashaji wa makampuni ya biashara kwa njia ya intaneti wanavyozidi kuwa wabunifu na wagunduzi zaidi. Kaymu Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kuuza na kununua vitu kwa njia ya mtandao imejitanua zaidi baada ya kuzindua app (programu ya simu) yake Septemba 2014.Kaymu Tanzania imezindua huduma zake za kwanza za programu ya simu nchini, hivyo kuwawezesha watumiaji wa Android kufanya manunuzi ya bidhaa na kuweka oda moja kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s72-c/DSCF9436.jpg)
NHIF YAZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s640/DSCF9436.jpg)
11 years ago
Habarileo24 Jan
Chama cha mawakala wa pesa za simu chasajiliwa
CHAMA cha mawakala wa huduma za pesa za simu za mkononi kimekamilisha usajili wa chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari leo msemaji wa chama hicho, Stanford Mbengane alisema kuwa usajili wa chama hicho umekamilika tangu Januari 10 mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mawakala huduma za pesa waanzisha chama
WAFANYAKAZI wa huduma za pesa wameanzisha Chama cha Mawakala wa Huduma za Pesa Kupitia Simu za Mkononi (CMPT) ili kutatua matatizo yanayowakabili kazini. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)