BENKI YA DUNIA: Tanzania yaongoza Duniani kutoa huduma za Pesa kwa simu za mkononi!
Picha ya Maktaba inavyoonesha namna ya huduma za kifedha zinavyofanyika kutoka simu ya mteja mmoja na kwenda kwa mteja mwingine kwa kutumiana pesa kwa njia hiyo ya simu za Mkononi, ambapo kwa Tanzania imekuwa kinara katika huduma hiyo.
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa
kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania
ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s72-c/images.jpg)
BENKI YA DUNIA: TANZANIA YAONGOZA DUNIANI KUTOA HUDUMA ZA PESA KWA SIMUTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s200/images.jpg)
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia ya simu.
Benki hiyo ya Dunia pia imesema kuwa Serikali ya Tanzania imewekeza kwa kiwango cha juu katika mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ikilinganishwa na nchi...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Tanzania yaongoza duniani kutoa huduma za kifedha kwa simu
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Zantel yaingia ubia na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa huduma za kibenki kupitia simu za mkononi
Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya Benki yako Kiganjani ya Zantel pamoja na benki ya PBZ. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose, akifuatiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Salmin Senga, na mwisho kulia ni Mkurugenzi wa benki ya PBZ, Juma Mohammed.
Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya kati ya kampuni yake na benki ya PBZ, Benki Yako...
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA WA FEDHA KUANZA KUSAJILIWA MWEZI HUU,WAMO MAWAKALA WA PESA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Bw.Bernard Dadi akizungumza kwenye Semina ya Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha inayoendelea jijini Arusha, kuhusu Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma wa kifedha,na ufafanuzi zaidi kuhusukusajiliwa kwa Watoa huduma wa Fedha nchini.
Dadi amesema kuwa usajili huo utakuwa ni wa lazima kwa yoyote atakaye husika na utoaji wa huduma wa Fedha,na kwamba usajili huo unatarajiwa kuanza rasmi Mwezi Machi-Aprili 2020 kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aA0eNO2S99g/U9D_mW01eDI/AAAAAAAF5uI/76Oh5C_Ed8U/s72-c/unnamed.jpg)
Nipashe, The Guardian yashirikiana na Vodacom kutoa taarifa kwa njia ya simu ya mkononi
![](http://2.bp.blogspot.com/-aA0eNO2S99g/U9D_mW01eDI/AAAAAAAF5uI/76Oh5C_Ed8U/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s72-c/DSCF9436.jpg)
NHIF YAZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s640/DSCF9436.jpg)
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bfi3pz1IPaQ/XoRo9U-BhOI/AAAAAAALlwI/TRZXOIhORDobTgw9AFrNaysiQsL12hXcgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
BENKI YA DUNIA YAIDHINISHA KUTOA MKOPO WA DOLA ZA KIMAREKEANI MILIONI 500 KWA TANZANIA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-bfi3pz1IPaQ/XoRo9U-BhOI/AAAAAAALlwI/TRZXOIhORDobTgw9AFrNaysiQsL12hXcgCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
BENKI ya dunia kupitia bodi ya wakurugenzi imeidhinisha kutolewa kwa mkopo wa dola za kimarekani milioni 500 (USD 500) kusaidia sekta ya elimu hasa kwa kuwawezesha vijana wa kitanzania kupata na kumaliza elimu ya Sekondari salama na katika mazingira bora.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Benki ya dunia imeelezwa kuwa pesa hizo zitawanufaisha wanafunzi milioni sita na nusu wa shule za sekondari kwa kuisaidia Serikali kuanzisha mifumo madhubuti kwa wanafunzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lBkSnz9u4Ck/Xsg47FlZ8KI/AAAAAAALrVQ/2VGg2SAV7BEr-Gq9M12PQK0TtCRRqlxuQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B10.51.05%2BPM.jpeg)
Huduma ya pesa kwa njia ya simu inavyoweza kutusaidia kupunguza maambuki ya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-lBkSnz9u4Ck/Xsg47FlZ8KI/AAAAAAALrVQ/2VGg2SAV7BEr-Gq9M12PQK0TtCRRqlxuQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B10.51.05%2BPM.jpeg)
Katika nyakati za changamoto hii ni lazima kuhakikisha sote tunashirikiana ili kuzuia kuenea kwa maambukizi ya kirusi cha homa hii.
Tumeona namna watu binafsi na hata wafanyabiashara wanavyobuni mbinu mpya ili maisha yaweza kuendelea huku tukipambana kuzuia maambukizi. Sekta ya usafiri ilikuwa moja ya sekta za mwanzo sana kutafuta mbinu...