Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hivi unawezaje kukosa nafasi adimu kama hii ya kukaa na kupiga picha na T.I.?????

Hey Ladies hivi unawezaje kukosa nafasi adimu kama hii ya kukaa na kupiga picha na T.I.????? - Post picha yako kwenye page ya Facebook ya Fiesta ( https://www.facebook.com/pages/Fiesta/339879459495368) kisha hakikisha inapata likes nyingi kuliko nyingine zote - then utapata nafasi ya kuwa mmoja wa washindi watano wa tiketi za Fiesta After Party.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu

Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.

“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”

Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.

Jionee picha hizo.

By Mzee wa Ubuyu

 

9 years ago

Vijimambo

MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU


Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper  habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.

Weekend yako fanya kama unasahau stress za schedule vile na tupieni.

 

10 years ago

Bongo5

Kanye asimamisha taxi kupiga picha na paparazzi aliyevaa t-shirt iliyomvutia, t-shirt zanunuliwa kama njugu

Kanye West hana urafiki na paparazzi.. lakini paparazzi mmoja amemvutia rapper huyo. Kanye West akiwa na paparazzi ambaye rapper huyo aliyependa t-shirt yake Akiwa kwenye mitaa ya jiji la New York, Alhamis wiki hii ndani ya taxi, Yeezy aliamua kusimama na kushuka kumpiga picha paparazzi aliyekuwa akimpiga picha kwakuwa alipenda tu t-shirt aliyokuwa amevaa. Kanye: […]

 

10 years ago

Bongo5

Jaffarai ajinunulia gari hii kama zawadi ya birthday (Picha)

Diamond Platnumz amemnununua Wema Sepetu gari jipya kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa iliyokuwa jana. Lakini Jaffarai ambaye siku yake ya kuzaliwa ni leo, hana mtu wa kumnunulia zawadi ya aina hiyo na ndio maana ameamua kujipa mwenyewe. Jaffarai na gari lake jipya “I thank you Lord for making it possible for me to […]

 

10 years ago

Vijimambo

UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?

Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera.
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...

 

10 years ago

Mwananchi

BVR isiwe sababu ya kukosa haki ya kupiga kura

Ni wazi kwamba mpango wa uandikishaji wapigakura kwenye Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa BVR umegubikwa na malalamiko kutoka kila eneo ambako uandikishwaji umefanywa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani