Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama kukutana na Netanyahu Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu watakutana leo kwa mara ya kwanza tangu uhusiano baina yao kudorora Julai.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama ampongeza Netanyahu kwa ushindi

Rais Obama amempongeza waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kwa ushindi wa chama chake katika uchaguzi mkuu wa Jumanne

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu awasili Marekani

Waziri Mkuu wa Israel anatarajiwa kulihutubia Bunge la Cobgress

 

10 years ago

GPL

MAREKANI IMESEMA BENJAMIN NETANYAHU AMEKIUKA MPANGO WA AMANI

Waziri mkuu wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu akifanya mashauriano na Raisi wa Marekani Bw. Barack Obama. Msemaji wa serikali ya Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya awali ya kuundwa kwa mataifa mawili kama suluhu ya mgogoro wa Israel na Palestina mwanzoni mwa wiki hii, na kwamba Marekani inautathmini msimamo wake upya. Matamshi ya waziri mkuu huyo wa Israel ya kutotaka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama kukutana na Papa Francis

Rais wa Marekani ,Barrack Obama anatarajiwa kukutana na kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis.

 

10 years ago

BBCSwahili

Merkel kukutana na Obama kuhusu Ukraine

Kiongozi wa Ujerumani kukutana na rais Obama kujadiliana kuhusu kuwepo kwa amani Ukraine

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama awazima wengi kwa kukutana na Ruto

Licha ya hofu kuwa Obama asingelikutana na naibu rais wa Kenya William Ruto,Obama alipiga picha naye

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiwa na Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama mara baada ya kukabidhi hati za utambumbulisho (White House). Washington DC. Mhe. Wilson Masilingi   Pamoja na Familia yake wakiwa Katika nyuso za furaha mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho  Ikulu ya Marekani(White House).  Kutoka kushoto ni Mtoto wa Balozi ndugu Nelson Masilingi, Rais wa Marekani Barack Obama, Balozi Wilson Masilingi, pamoja na Marystella Masilingi. Mke wa Balozi.

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE VIJANA JOSHUA NASSARI NA STEPHEN MASELE KUKUTANA NA RAIS OBAMA LEO

Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari  akizungumza wakati wa tafrija ya chakula cha jioni baada ya mahafali ya kuhitimu mafunzo ya wiki tisa kwa viongozi vijana toka nchi mbalimbali za Afrika yaliyokuwa yakifanyika chuo kikuu cha Arkansas nchini Marekani.Hotuba ya Mh,Nassari ilionekana kuwagusa wageni mbalimbali katika tafrija hiyo Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari akipokea cheti toka kwa  Mstahiki Meya wa Fayetteville Arkansas Mhe Lioneld Jordan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Urusi kukutana Geneva

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry na mwenzake wa Urusi Sergey Lavrov wanatarajiwa kufanya mazungumzo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani