Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Netanyahu aahidi kuendelea kutafuta amani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wamesema wamejitolea kufanikisha amani Mashariki ya Kati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

USA:Netanyahu amekiuka mpango wa amani

Msemaji wa Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya mpango wa amani

 

10 years ago

GPL

MAREKANI IMESEMA BENJAMIN NETANYAHU AMEKIUKA MPANGO WA AMANI

Waziri mkuu wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu akifanya mashauriano na Raisi wa Marekani Bw. Barack Obama. Msemaji wa serikali ya Marekani, Josh Earnest, amesema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiuka dhamira yake ya awali ya kuundwa kwa mataifa mawili kama suluhu ya mgogoro wa Israel na Palestina mwanzoni mwa wiki hii, na kwamba Marekani inautathmini msimamo wake upya. Matamshi ya waziri mkuu huyo wa Israel ya kutotaka...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDDI AAHIDI KUTAFUTA MBINU ZA KUTATUA CHANGAMOTO

  Mwakilishi wa Wananchi wa Shehia ya Kilimani Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja akiwasilisha changamoto zinazowakabili wananachi wa Kijiji hicho mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hayupo pichani aliyefika kuitika wito waliomuagiza. Baadhi ya Wananchi wa  Kijiji cha Kilimani Kidoti wakisikiliza nasaha za Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  baada ya kumueleza changamoto wanazopambana nazo kijijini pao. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Juhudi za kutafuta amani Gaza zachacha

Israeli imeendelea kuiponda Gaza licha ya kikao cha mawaziri wa baraza la Usalama na wito wa kusitishwa mapigano

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiir aahidi kutekeleza mkataba wa amani

Akihutubu kupitia runinga ya taifa Kiir amesema amejitolea kufanikisha mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi uliopita.

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania

Meneja Uhusiano wa Umma wa
 Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla   wanaendelea kupata habari za soka  zinazohusiana na   ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma  maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata  taarifa  hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani kuendelea Adis Ababa

Mazungumzo ya amani kati ya Waasi na serikali ya Sudan Kusini yatarejelewa tena leo mjini Adis Ababa Ethiopia

 

9 years ago

Vijimambo

UN NA SERIKALI YA TANZANIA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI ILIYOPO NCHINI

IMG_0482
Mgeni rasmi Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani ambapo kitaifa yamefanyika jijini humo na kuandaliwa na Baraza la Dini mbalimbali la Amani Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani