Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Mazungumzo ya amani yakwama

Mazungumzo ya mwisho ya kuzima msukosuko wa kisiasa wa Burundi, yamesimamishwa, siku mbili kabla ya uchaguzi wa rais.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi

Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani Burundi kuanza tena

Mazungumzo ya kutafuta amani nchini Burundi yanatarajiwa kuanza tena leo baada ya kusitishwa, kwa siku kadhaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Burundi:Mazungumzo ya amani kuanza Kampala

Mazungumzo ya kusuluhisha mzozo wa Burundi yataanza tena kesho mjini Kampala, chini ya usimamizi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda.

 

10 years ago

Michuzi

BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO

Na Mwandishi Maalum, New York.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...

 

11 years ago

BBCSwahili

Juhudi za kutafuta amani Gaza zachacha

Israeli imeendelea kuiponda Gaza licha ya kikao cha mawaziri wa baraza la Usalama na wito wa kusitishwa mapigano

 

9 years ago

BBCSwahili

Netanyahu aahidi kuendelea kutafuta amani

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wamesema wamejitolea kufanikisha amani Mashariki ya Kati.

 

9 years ago

Mwananchi

Rais Kagame awapa mbinu viongozi wa Burundi kutafuta suluhu

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewashauri raia wa Burundi kumaliza mgogoro unaoendelea nchini humo kwani hakuna mtu wa nje anayeweza kufanya hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mazungumzo ya amani yakwama

Mazungumzo ya kusaka amani kati ya pande mbili hasimu huko Sudan Kusini yamekwama huku mapigano makali kati ya jeshi la Serikali na waasi wanaoongozwa na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar yakiendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani