Mazungumzo ya amani yakwama
Mazungumzo ya kusaka amani kati ya pande mbili hasimu huko Sudan Kusini yamekwama huku mapigano makali kati ya jeshi la Serikali na waasi wanaoongozwa na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar yakiendelea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
Burundi:Mazungumzo ya amani yakwama
Mazungumzo ya mwisho ya kuzima msukosuko wa kisiasa wa Burundi, yamesimamishwa, siku mbili kabla ya uchaguzi wa rais.
11 years ago
BBCSwahili04 Jan
Mazungumzo ya Sudan Kusini yakwama
Matumaini ya kupatikana kwa amani Sudan Kusini yameingia mashakani baada ya mazungumzo ya uso kwa uso ya pande zinazopingana yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika nchini Ethiopia kuchelewa.
10 years ago
BBCSwahili13 May
Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi
Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Mazungumzo ya amani Mashariki ya kati
Muda wa mwisho uliowekwa na Marekani wa mpango wa mashariki ya kati umemalizika
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi
Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Waasi wasusia mazungumzo ya amani
Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
UN yaandaa mazungumzo ya amani ya Yemen
Usitishwaji wa mapigano Yemen umeanza sambamba na mazungumzo ya amani yanayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa nchini Uswisi.
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Rais wa Ukraine kuanzisha mazungumzo ya amani
Rais wa Ukraine asema ataunda tume maalum ya kushirikisha pande zote zinazozozana nchini humo kusuluhisha ghasia za kisiasa
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mazungumzo ya amani kuendelea Adis Ababa
Mazungumzo ya amani kati ya Waasi na serikali ya Sudan Kusini yatarejelewa tena leo mjini Adis Ababa Ethiopia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania