Rais Kagame awapa mbinu viongozi wa Burundi kutafuta suluhu
Rais wa Rwanda Paul Kagame amewashauri raia wa Burundi kumaliza mgogoro unaoendelea nchini humo kwani hakuna mtu wa nje anayeweza kufanya hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Nov
Rais Kikwete ashauriwa kutafuta suluhu Zanzibari
Baadhi ya Vyama vya Siasa kutoka Upinzani vimemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutafuta suluhisho kuhusu sintofahamu ya Uchaguzi wa Zanzibar ili kuwahakikishia Wazanzibar imani kwa mustakabari wa maendeleo ya Taifa.
Wamesema pamoja na Rais Kikwete kubakiza siku chache za uongozi bado ana nafasi kubwa ya kuhakikisha Wazanzibar wanakuwa na Rais wao kwa njia ya amani na Demokrasia.
Zikiwa zimepita siku tangu Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta matokeo ya urais, Madiwani...
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Kagame awashutumu viongozi wa Burundi
10 years ago
Habarileo29 Jun
Rais Kikwete awapa wosia wa amani viongozi wa dini
RAIS Jakaya Kikwete amewaomba viongozi wa dini nchini kuendeleza hali ya amani na utulivu uliopo nchini kwa kuhakikisha kuwa nchi inabaki na amani, kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25, mwaka huu, 2015.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4s57zVmRoxc/VD2DSJkiRZI/AAAAAAAGqho/0YMF8bStzzI/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA URAIA WAKIMBIZI WA BURUNDI 162,156 MJINI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-4s57zVmRoxc/VD2DSJkiRZI/AAAAAAAGqho/0YMF8bStzzI/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e2zNK3v3cXQ/VknOMuP_giI/AAAAAAADCdw/jaB8WanS1XU/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA DINI WA MKOA WA DODOMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-e2zNK3v3cXQ/VknOMuP_giI/AAAAAAADCdw/jaB8WanS1XU/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7jM19yHEs6A/VknORDWQHgI/AAAAAAADCeA/Qd8GAnoFVdU/s640/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akutana na Viongozi wa Mtandao wa Ulingo Tanzania (Umoja wa Wanawake Wanasiasa)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam, Nov 26, 2015. (Picha na OMR).
Baadhi ya Wanawake Wanaulingo wakimsikiliza Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s72-c/734.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AAHIDI KUTAFUTA MBINU ZA KUTATUA CHANGAMOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s640/734.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aw5cVXbexfA/Vh6zVjhS6bI/AAAAAAAH_8U/FDpYSu-pbjs/s640/735.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_RGP_fLW7tc/Vh6zUyekx9I/AAAAAAAH_8I/GV5dQ4XDi4I/s640/736.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mke wa Lowassa awapa mbinu za kupiga kura Babati