Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagame awashutumu viongozi wa Burundi

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameshutumu vikali viongozi wa Burundi kutokana na mauaji ya raia na kusema yanaweza kuvutia wapenda haki kuingilia kati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Rais Kagame awapa mbinu viongozi wa Burundi kutafuta suluhu

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewashauri raia wa Burundi kumaliza mgogoro unaoendelea nchini humo kwani hakuna mtu wa nje anayeweza kufanya hivyo.

 

10 years ago

Michuzi

MICHUANO YA KAGAME, APR YAICHAPA LLBA FC YA BURUNDI 2-1

Beki wa timu ya LLBA ya Burundi, Hakizimana Issa akijaribu kumzuia mchezaji wa timu ya APR ya Rwanda, Mubumbyi Barnabe katika mchezo wa Kome la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijioni Dar es Salaam. APR imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)Beki wa LLBA FC ya Burundi, Manirakiza Aruna akioko hatari langoni mwake.  Heka heka katika lango la timuya LLBA FC. Simbomana Patrick wa APR ya Rwanda (kulia) akichuana na mchezaji wa LLBA FC ya Burundi, Ndaye Chancel. Uwimana Messo...

 

9 years ago

TheCitizen

Rwanda’s Kagame accuses Burundi leaders of ‘massacres’ against citizens

Rwandan President Paul Kagame has accused Burundi’s leaders of carrying out “massacres” on their people in his most critical speech yet of the crisis in the troubled neighbouring state.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC

Rais wa Rwanda Paul Kagame amevishutumu vikosi vya Burundi kuendesha mapigano mashariki mawa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, huku akipinga madai kuwa wanajeshi wa Rwanda wako katika eneo hilo pia.

 

10 years ago

Mwananchi

Palasa wa TPBC awashutumu Mlundwa, Ustadh

Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa amewataja viongozi wa ngumi wa PST na TPBC, Emmanuel Mlundwa na Yassin Abdallah ‘Ustadh’ kuwa vinara wa kuvuruga mchezo huo nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wajadili mzozo wa Burundi

Viongozi wa jumuiya ya Afrika mashariki wanajadili na kuwasilisha mapendekezo ya ripoti kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi

 

9 years ago

BBCSwahili

‘Viongozi wa mapinduzi’ Burundi washtakiwa

Waziri wa zamani wa ulinzi nchini Burundi Cyrille Ndayirukiye amefikishwa kortini akishtakiwa kupanga mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: VIONGOZI WA JARIBIO LA MAPINDUZI NCHINI BURUNDI WATIWA MBARORONI

Majenerali wawili waliotekeleza jaribio la mapinduzi nchini Burundi dhidi ya rais Pierre Nkurunziza wametiwa mbaroni baada kushidwa kwa jaribio lao hilo, huku kiongozi mkuu wa mapinduzi hayo jenerali Godefroid Niyombare akidaiwa kuingia mititi na sasa anasakwa.
Hayo yemeelezwa leo hii na Msemaji wa Rais Nkurunziza,Willy Nyamitwe.
Awali Jenerali Niyombare alikaririwa akikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha kwa serikali ya Rais Nkurunziza, huku akiongezea...

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM

William Samoei Ruto, Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa EAC wakisimama kwa wimbo wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Waziri wa Mashauri ya Kigeni na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana hivi karibuni kwa ajili ya kujadili mgogoro wa kisiasa unaoikabili Burundi. Mh. Benard Membe ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani