Kagame awashutumu viongozi wa Burundi
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameshutumu vikali viongozi wa Burundi kutokana na mauaji ya raia na kusema yanaweza kuvutia wapenda haki kuingilia kati.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Rais Kagame awapa mbinu viongozi wa Burundi kutafuta suluhu
Rais wa Rwanda Paul Kagame amewashauri raia wa Burundi kumaliza mgogoro unaoendelea nchini humo kwani hakuna mtu wa nje anayeweza kufanya hivyo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KuL1hinl0lY/VbECXj5FCAI/AAAAAAABeEQ/scX5VIksls8/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BJulai%2B24.jpg)
MICHUANO YA KAGAME, APR YAICHAPA LLBA FC YA BURUNDI 2-1
![](http://4.bp.blogspot.com/-KuL1hinl0lY/VbECXj5FCAI/AAAAAAABeEQ/scX5VIksls8/s640/Picha%2Bya%2BPg.24%2BJulai%2B24.jpg)
9 years ago
TheCitizen08 Nov
Rwanda’s Kagame accuses Burundi leaders of ‘massacres’ against citizens
Rwandan President Paul Kagame has accused Burundi’s leaders of carrying out “massacres†on their people in his most critical speech yet of the crisis in the troubled neighbouring state.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC
Rais wa Rwanda Paul Kagame amevishutumu vikosi vya Burundi kuendesha mapigano mashariki mawa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, huku akipinga madai kuwa wanajeshi wa Rwanda wako katika eneo hilo pia.
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Palasa wa TPBC awashutumu Mlundwa, Ustadh
Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa amewataja viongozi wa ngumi wa PST na TPBC, Emmanuel Mlundwa na Yassin Abdallah ‘Ustadh’ kuwa vinara wa kuvuruga mchezo huo nchini.
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Viongozi wajadili mzozo wa Burundi
Viongozi wa jumuiya ya Afrika mashariki wanajadili na kuwasilisha mapendekezo ya ripoti kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
‘Viongozi wa mapinduzi’ Burundi washtakiwa
Waziri wa zamani wa ulinzi nchini Burundi Cyrille Ndayirukiye amefikishwa kortini akishtakiwa kupanga mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s72-c/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
JUST IN: VIONGOZI WA JARIBIO LA MAPINDUZI NCHINI BURUNDI WATIWA MBARORONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-F186mEYFDeg/VVWxbTggJXI/AAAAAAAHXa8/qYs2xsmLnVk/s640/150513153201_burundi_military_coup_624x351_ap.jpg)
Hayo yemeelezwa leo hii na Msemaji wa Rais Nkurunziza,Willy Nyamitwe.
Awali Jenerali Niyombare alikaririwa akikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha kwa serikali ya Rais Nkurunziza, huku akiongezea...
10 years ago
GPLVIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM
William Samoei Ruto, Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa EAC wakisimama kwa wimbo wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Waziri wa Mashauri ya Kigeni na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajiwa kukutana hivi karibuni kwa ajili ya kujadili mgogoro wa kisiasa unaoikabili Burundi. Mh. Benard Membe ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania