Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wajadili mzozo wa Burundi

Viongozi wa jumuiya ya Afrika mashariki wanajadili na kuwasilisha mapendekezo ya ripoti kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mpatanishi wa mzozo wa Burundi ajiondoa

Umoja wa mataifa umesema mjumbe wake maalum katika eneo la maziwa makuu hataendelea tena kuwa mpatanishi katika mzozo wa Burundi.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli amwagiza Mahiga kutatua mzozo wa Burundi

Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kikanda na Mambo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Dk Augustine Mahiga kuanza kushughulikia mgogoro wa Burundi na ametaka kazi hiyo afanye kwa kushirikiana na waziri wengine kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa EU wajadili wahamiaji

Viongozi wa nchi za ulaya wanakutana jijini Brussels kujadili namna ya kupambana na wimbi la wahamiaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa AU wajadili usalama Kenya

Viongozi wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika wanakutana mjini Nairobi,nchini Kenya kujadili usalama barani

 

10 years ago

Michuzi

NEC NA VIONGOZI WA VYAMA VYASIASA ,WAJADILI MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS,WABUNGE NA MADIWANI

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Jaji  Mstaafu Damiani Lubuva akizungumza wakati wa mkuato wa kujadili maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika mkutano uliofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.  Mkurugenzi wa uchaguzi, Julius Mallaba akizungumza leo katika mkutano wa kujadili maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika mkutano uliofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.   Baadhi ya viongozi wa vyombo vya siasa wakifuatilia kwa umakini katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema Corona haikuanzia Afrika hivyo haipaswi kuwa chanzo cha kutoelewana kati ya nchi za Kenya na Tanzania, na kwamba nchi zote zinahitaji biashara.

 

9 years ago

BBCSwahili

‘Viongozi wa mapinduzi’ Burundi washtakiwa

Waziri wa zamani wa ulinzi nchini Burundi Cyrille Ndayirukiye amefikishwa kortini akishtakiwa kupanga mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kagame awashutumu viongozi wa Burundi

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameshutumu vikali viongozi wa Burundi kutokana na mauaji ya raia na kusema yanaweza kuvutia wapenda haki kuingilia kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani