Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa AU wajadili usalama Kenya

Viongozi wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika wanakutana mjini Nairobi,nchini Kenya kujadili usalama barani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Magharibi wajadili usalama barani

Suala la usalama na amani barani Afrika ndio mada kuu itakayojadiliwa katika kikao cha viongozi wa nchi za Afrika Magharibi

 

5 years ago

Michuzi

OSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI

Viongozi wa Shirikisho la Wenye Viwanda (CTI) wametembelea ofisi za Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwa lengo la kujadiliana na wenyeji wao namna bora zaidi ya kuboresha mifumo ya usalama na afya katika viwanda hapa nchini.

Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa EU wajadili wahamiaji

Viongozi wa nchi za ulaya wanakutana jijini Brussels kujadili namna ya kupambana na wimbi la wahamiaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wajadili mzozo wa Burundi

Viongozi wa jumuiya ya Afrika mashariki wanajadili na kuwasilisha mapendekezo ya ripoti kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi

 

10 years ago

Michuzi

NEC NA VIONGOZI WA VYAMA VYASIASA ,WAJADILI MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS,WABUNGE NA MADIWANI

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Jaji  Mstaafu Damiani Lubuva akizungumza wakati wa mkuato wa kujadili maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika mkutano uliofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.  Mkurugenzi wa uchaguzi, Julius Mallaba akizungumza leo katika mkutano wa kujadili maadili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika mkutano uliofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo.   Baadhi ya viongozi wa vyombo vya siasa wakifuatilia kwa umakini katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Afrika kuzungumzia Usalama

Mkutano wa awamu ya pili wa amani na usalama barani Afrika utafanyika mjini Dakar nchini Senegal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada mpya wa usalama Kenya

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametia sahihi sheria mpya ya kukabiliana na maswala ya usalama nchini, ambapo maafisa wa usalama watasikiliza mawasiliano ya simu ya watu hata bila kuwaarifu.

 

10 years ago

StarTV

Wakuu wa usalama watimuliwa Kenya.

Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.

Wakati huohuo mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake afanye hivyo kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama nchini.

Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali ‘kustaafu’ mapema kutoka kwa majukumu yake kwa sababu za kibinafsi.

Rais alitoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Usalama Kenya:Serikali yapata pigo.

Serikali ya Kenya imeshindwa katika jaribio lake la kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu sheria mpya ya usalama iliozua tetesi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani