Wakuu wa usalama watimuliwa Kenya.
Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.
Wakati huohuo mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake afanye hivyo kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama nchini.
Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali ‘kustaafu’ mapema kutoka kwa majukumu yake kwa sababu za kibinafsi.
Rais alitoa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Maafisa wa usalama watimuliwa Somalia
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Usalama wa wateja wa benki, Lugha ya Kichina, wakuu wa shule na ubadhirifu..#MAGAZETINI
HABARILEO Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha. Akizungumza jana jijini Dar es SaIaam, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Abdallah Bulembo alisema zaidi ya shule 26 walizozifanyia ukaguzi, 15 zimekutwa zikiwa na upungufu na kubwa ikiwa ni […]
The post Usalama wa wateja wa benki, Lugha ya Kichina, wakuu wa shule na ubadhirifu..#MAGAZETINI appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwpCQ9oQVgw/Xmzj2bRY0HI/AAAAAAALjp4/77QLFx17WYszLlnphZL3nTBvI7Cuj7KhQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-5-768x765.jpg)
SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU ZIMAMOTO KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwpCQ9oQVgw/Xmzj2bRY0HI/AAAAAAALjp4/77QLFx17WYszLlnphZL3nTBvI7Cuj7KhQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-5-768x765.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akizungumza na Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Victor Mwambalaswa wakati wakitoka kukagua Jengo la Makao makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, jijini Dodoma leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b6zzWaYZZ4/XqCezmIkAXI/AAAAAAALn64/EWUIvjvKyO8N_z8bbUFiJuMQ_1LY-njQwCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1255.jpg)
RAIS MAGUFULI AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NUFv3AShtRw/XqBtCczNchI/AAAAAAALn14/JEJZJEajYFwgPy918nHN_iGaocG9GS7vQCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1255.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Mabula Daudi Mchembe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto . Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Aprili 22, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-28-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X2e7XwS87fE/XvSvYEmF5-I/AAAAAAALvZk/n7GISuD4jJQmMVC9hMcpyfIynzZL1DDEgCLcBGAsYHQ/s72-c/28eb067e-e3e1-4242-a58f-e9bfd86a6616.jpg)
MKUTANO WA MAWAZIRI WA KAMATI YA SADC YA ASASI YA USHIRIKIANO WA SIASA, ULINZI NA USALAMA KWA NGAZI YA MAKATIBU WAKUU WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-X2e7XwS87fE/XvSvYEmF5-I/AAAAAAALvZk/n7GISuD4jJQmMVC9hMcpyfIynzZL1DDEgCLcBGAsYHQ/s640/28eb067e-e3e1-4242-a58f-e9bfd86a6616.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c7db65db-0e86-42f2-b1c5-02d2d8881acf.jpg)
Washiriki wakifuatilia mkutano kwa njia ya Video Conference jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/cf94b859-45ce-43ff-9cae-f695107776ec.jpg)
Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na baadhi ya...
5 years ago
YkileoKENYA: WAKUU WA TEHAMA WAKUTANA
KWA UFUPI: Wakuu wa vitengo vya TEHAMA wamekutana kujadili changamoto na namna nzuri ya kuzitatua changamoto hizo katika vikao vilivyo kamilika Nchini Kenya.-------------------------------
Watunga sera na sheria mbali mbali wamekua wakifanya maamuzi ya TEHAMA bila kushirikisha wadau wa TEHAMA – Hii imekua moja ya changamoto inayo leta mkinzano wa utendaji wenye manufaa kwa wana TEHAMA maeneo mengi barani Afrika.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Maafisa wakuu wa riadha Kenya wapigwa marufuku