Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafisa wa usalama watimuliwa Somalia

Mkuu wa polisi na mwenzake wa ujasusi nchini Somalia, wameachishwa kazi kufuatia shambulizi dhidi ya ikulu ya Rais

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

30 wauawa maafisa wa usalama wakipigana Somalia

Watu 40,000 wamekimbia makaazi yao kutokana na mapigano kati ya maafisa wa usalama kutoka maeneo mawili

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa jeshi watimuliwa Iraq

Waziri mkuu wa Iraq Haider al-Abadi amewafukuza kazi ama kuwastaafisha mapema maafisa wa jeshi Zaidi ya 30.

 

10 years ago

StarTV

Wakuu wa usalama watimuliwa Kenya.

Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.

Wakati huohuo mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake afanye hivyo kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama nchini.

Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali ‘kustaafu’ mapema kutoka kwa majukumu yake kwa sababu za kibinafsi.

Rais alitoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Somalia wanunia Kenya

Maafisa wa Somalia wamekataa kukutana na maafisa wa Kenya kujadili mkataba uliofikiwa mwaka jana kuhusu kuwarejesha kwao wakimbizi wasomali wanaoishi nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN: Walaani kuuawa maafisa wake Somalia

Umoja wa Mataifa umelaani kuuawa kwa maafisa wake wawili nchini Somalia

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri

Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lawaua maafisa 15 wa usalama

Wanamgambo wamewaua karibu walinda usalama 15 nchini Somalia baada ya kufanya shambulizi katika mji ulio karibu na mji mkuu Mogadishu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 1,900 wa usalama kuajiriwa Uingereza

Uingereza imeongeza bajeti kwa vitengo vyake vya usalama nchini humo baada IS kutangaza kuhusika na mashambulio hayo ya Paris .

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je maafisa wa usalama wa Afrika wanazingatia haki za raia katika udhibiti wa maambukizi?

Askari wenye silaha wamekua wakiwapiga na kuwarushia maji ya gesi watu katika maeneo mbalimbali ya mataifa ya Afrika na wengine kufikia hata kuwauwa ili kuhakikisha kuwa hatua za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa corona zinachukuliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani