Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafisa wa jeshi watimuliwa Iraq

Waziri mkuu wa Iraq Haider al-Abadi amewafukuza kazi ama kuwastaafisha mapema maafisa wa jeshi Zaidi ya 30.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa usalama watimuliwa Somalia

Mkuu wa polisi na mwenzake wa ujasusi nchini Somalia, wameachishwa kazi kufuatia shambulizi dhidi ya ikulu ya Rais

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa jeshi watimuliwa Nigeria

Rais wa Nigeria , Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi na kufanya mageuzi jeshini

 

9 years ago

Michuzi

Raisi Kikwete atunuku Kamisheni kwa maafisa wapya wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi Monduli, JWTZ wamzawadia

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili  kutunuku Kamisheni kwa maafisa wapya wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi Monduli leo. Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride muda mfupi kabla ya kutunuku Kamisheni kwa maafisa wapya wa Jeshi katika Chuo cha Jeshi Monduli leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi Afisa mwanafunzi bora Luteni Usu Antony Shija wakati wa sherehe za kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya leo katika chu cha jeshi TMA Monduli leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati walishutumu jeshi la Iraq

Wanaharakati wa haki za binadamu wanalishutumu Jeshi la Iraq kwa kushindwa kuokoa maelfu ya watu kufikia sehemu salama ya nchi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yalipongeza jeshi la Iraq.

Marekani imelipongeza jeshi la Iraq kwa kuweza kuurejesha mji wa Ramadi uliokuwa ukishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani:Jeshi la Iraq lichukue Ramadi

Pentagon imesema kuwa, muda umewaadia kwa kikosi cha wanajeshi wa Iraq waliofunzwa na Marekani kuchukua udhibiti wa mji wa Ramadi, kutoka mikononi mwa kundi hatari la Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Iraq lapiga hatua dhidi ya IS

majeshi ya nchi ya Iraq kwa mara nyingine tena, yamepiga hatua kubwa katika juhudi zao za kuutwa kabisa mji wa Tikrit kutoka kwa IS

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Iraq lajongelea mji wa Tikrit

Serikali ya Iraq yasema jeshi lake lafanya operesheni kubwa kuukomboa mji wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Iraq latwaa ngome ya IS Ramadi

Chanzo kimoja cha habari kutoka jeshi la Iraq kimesema jeshi la Iraq linazidi kusogea kwenye jengo la makao makuu ya IS, Ramadi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani