Jeshi la Iraq lajongelea mji wa Tikrit
Serikali ya Iraq yasema jeshi lake lafanya operesheni kubwa kuukomboa mji wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit
Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Iraq yataka kuikomboa Tikrit
Majeshi ya serikari ya Iraq yameingia siku ya nne mfululizo ya harakati za kutaka kuukomboa mji wa Tikrit
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq
Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mji wa Tikrit wadhibitiwa
Majeshi ya Iraq na yale Shia yamezidi kupata ushindi na kuurudisha tena mji wa Tikrit.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Mji wa Ramadi watorokwa Iraq
Maelfu ya raia wa Iraq wanaendelea kuukimbia mji wa Ramadi huku kundi la wanamgambo wa Islamic State likiwazuia na kuendeleza mashambulizi
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq
Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Wanajeshi wa Iraq wauteka mji wa Tiqrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeuteka mji wa kazkazini wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji wa ISIS.
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mamilioni waukimbia mji wa Mosul Iraq
Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania